wanaJF,nimekuwa nikiangalia inflation rate kwa maana ya thamani ya TShs vs US$,kwa takriban mwezi sasa,imekuwa ikipanda kwa kasi ya ajabu
mathalan leo nimepitia bureau exchange kadhaa maeneo ya posta na kukuta duka moja la pesa WANANUNUA DOLAa moja ya marekani kwa i Tshs 1680...
i was shocked. hivi tunaelekea wapi? serikali yetu inaliona hilo? na je inachukua hatua gani?
kwa hali hii tunahitaji tamko toka kwa gavana atuambie mikakati ya kuthibiti mfumuko huu wa bei na ya kuwa kuna mikakati gani ya kuthibiti hali hii
mathalan leo nimepitia bureau exchange kadhaa maeneo ya posta na kukuta duka moja la pesa WANANUNUA DOLAa moja ya marekani kwa i Tshs 1680...
i was shocked. hivi tunaelekea wapi? serikali yetu inaliona hilo? na je inachukua hatua gani?
kwa hali hii tunahitaji tamko toka kwa gavana atuambie mikakati ya kuthibiti mfumuko huu wa bei na ya kuwa kuna mikakati gani ya kuthibiti hali hii