TFF yatupilia mbali rufaa ya polisi Dar dhidi ya Lufunga

Rais2020

JF-Expert Member
Jul 14, 2016
3,248
5,532
Shirikisho la soka Tanzania(TFF) limetupilia mbali rufani ya klabu ya Polisi Dar dhidi ya klabu ya simba ktk kombe la FA kwa madai kwamba haikuambatana na ada ya rufaa. Polisi ilikata rufaa kwa madai kwamba simba ilimjuisha beki novatus lufunga katika kikosi chake wakati akiwa bado anatumikia adhabu ya kadi nyekundu aliyoonyeshwa ktk mechi ya mwisho ya mashindano hayo msimu uliopita.

Wale wapiga ramli endeleeni kupiga ramli.
Source: Mwanasport.
Rais2020.
 
sasa kama issue ni ada tu mbona wanaweza kukata tena!! wasubirie tu kdg yangawatawapa ada ya kukatia hio rufaa
Yanga hawana uadui huo na simba.. Ndio maana mliingia bure tulivyocheza na TP mazembe... Mwaka jana Yanga angeulizwa Azam au Simba nani apewe nafasi ya kucheza shirikisho wangepewa simba
 
Very strange. Kanuni imevunjwa mchana na TFF wanajua
Hata hiyo ya Polisi haina maana. Ilibidi wachukue hatua wenyewe
Ni kichekesho kusema kanuni ya kukata rufaa haikutimizwa. Kwa hiyo kosa lifumbiwe macho? Wanakaribisha rushwa watu wachukue mpunga ili wasikate rufaa
 
Very strange. Kanuni imevunjwa mchana na TFF wanajua
Hata hiyo ya Polisi haina maana. Ilibidi wachukue hatua wenyewe
Ni kichekesho kusema kanuni ya kukata rufaa haikutimizwa. Kwa hiyo kosa lifumbiwe macho? Wanakaribisha rushwa watu wachukue mpunga ili wasikate rufaa
Kukata rufaa ile iwe validi kuna taratibu zake kwanza kuna time frame, pia kuna Ada ya kulipa nk usipotimiza hiyo rufaa haiwezi kuwa registered usiongee Kama mjinga
 
Acha ufala wewe ndalaaa, ulitaka ganda la ndizi uteleze?
Mafala ni nyie mnaotaka mteremko kila siku, kadi ya njano hajib mkapotezea laana mkakosa ubingwa na hii laana ya kupora haki ya polisi mnapigwa round ijayo...mnatuaribia soka letu
 
Kukata rufaa ile iwe validi kuna taratibu zake kwanza kuna time frame, pia kuna Ada ya kulipa nk usipotimiza hiyo rufaa haiwezi kuwa registered usiongee Kama mjinga
Kosa hilo wala halihitaji rufaa. Kujua tu kwamba kanuni imevunjwa inatosha.
Msiwe wajinga kukataa ukweli kwamba Kaburu ameteleza
 
Very strange. Kanuni imevunjwa mchana na TFF wanajua
Hata hiyo ya Polisi haina maana. Ilibidi wachukue hatua wenyewe
Ni kichekesho kusema kanuni ya kukata rufaa haikutimizwa. Kwa hiyo kosa lifumbiwe macho? Wanakaribisha rushwa watu wachukue mpunga ili wasikate rufaa
hawa Tff hawaaminiki hata suala la kessy walilifumbia macho hivihivi eti yanga inapigwa faini
 
Very strange. Kanuni imevunjwa mchana na TFF wanajua
Hata hiyo ya Polisi haina maana. Ilibidi wachukue hatua wenyewe
Ni kichekesho kusema kanuni ya kukata rufaa haikutimizwa. Kwa hiyo kosa lifumbiwe macho? Wanakaribisha rushwa watu wachukue mpunga ili wasikate rufaa
1feefa5d0e90ccecd76ecbf92b453063.jpg
 
Cha ajabu kabisa Muro alikua nyuma ya rufaa ya polis dar.Saa 72 zilishapita,kadi hazihami kutoka kombe moja hadi lingine,kanuni zinapangwa na wadau hivyo bado hazijafanyiwa marekebisho.Why vyura walijigeuza polisi Dar? Acheni figisu chezeni mpira.
 
Kukata rufaa ile iwe validi kuna taratibu zake kwanza kuna time frame, pia kuna Ada ya kulipa nk usipotimiza hiyo rufaa haiwezi kuwa registered usiongee Kama mjinga

nadhani wewe ndo mjinga katika hili... kanuni ya saba inasema TFF ina mamlaka ya kupeleka shauri lolote la ukiukwaji wa sheria katika kamati husika bila kujali kosa hilo limelalamikiwa au la... kwahiyo hata kama polisi dar hawakuwa wamepeleka malalamiko still TFF ilitakiwa kulichukua shauri hilo na kulifanyia kazi.

kuna muda ufike haya mapenzi yetu ya simba na yanga tuyaache kwenye issue za msingi
 
Back
Top Bottom