Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Tumia akili kufikiria kidogo sio unaleta ushabiki kila kituYaani wewe ndio bure kabisa. Akikanusha Jenny Mro ndio unachukulia ni tamko rasmi la TFF? Yaani mdaiwa anakanusha na wewe unachukulia kama source ya habari? Ungesema TFF imekanusha hapo sawa. Jipangeni kumchangia YM hizo sh. 530M ili CAF, TFF, DRFA, Wachina na TRA wachukue chao. Ndio matokeo ya kuwa na uongozi usioelewa mambo!
1.Source ya hiyo habari ni nani TFF au CAF ?
2.CAF huwa wanahusiki na viingilio vya mechi ?
3.Kwenye mapato ya mechi kuna mgawo CAF wanapata ?
4.Mechi imechezwa Jumanne jioni taarifa imetoka jana jioni,CAF walikaa lini kupitia ripoti za wasimamizi ?