mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Habari ni hiyo hapo
Huku ni kubalansi mambo kwa wazi kabisa... Hao wengine hawakuwa na adhabu ndani ya uwanja.. Huyu Mukoko kapewa adhabu mbili kwa kosa mojaadhabu ya Mukoko kutolewa kwa kadi nyekundu ndani ya mchezo haikutosha au ndo mwendo wa kubalance mambo..
inachekesha,bas hata ile faulo ya tarehe 3 bocco dhidi ya mukoko itolewe faini au sababu refa wa ile mechi hakutoa adhabu?Huku ni kubalansi mambo kwa wazi kabisa... Hao wengine hawakuwa na adhabu ndani ya uwanja.. Huyu Mukoko kapewa adhabu mbili kwa kosa moja
Kwa hiyo hili la Mukoko Kigoma unaliona ni sawa kwa sababu ya hilo la tarehe 3?inachekesha,bas hata ile faulo ya tarehe 3 bocco dhidi ya mukoko itolewe faini au sababu refa wa ile mechi hakutoa adhabu?
Shida teyariiiiiiiiiiii..!!Karia kukwepa kusalimiana na minziro alipewa adhabu gani?View attachment 1874234
Hujamuona Morison? Kapigwa Million 3 na kutocheza mechi 3.Huku ni kubalansi mambo kwa wazi kabisa... Hao wengine hawakuwa na adhabu ndani ya uwanja.. Huyu Mukoko kapewa adhabu mbili kwa kosa moja
Safi. Hawawez kukujibuKaria kukwepa kusalimiana na minziro alipewa adhabu gani?View attachment 1874234
hapana..najaribu tu kujiuliza kama adhabu zinatolewa kwa mfumo huo hasa zinazohusu faulo..yan unapewa adhabu ndani na nje ya uwanja! inashangaza au wanatafuta mapato kwa nguvuKwa hiyo hili la Mukoko Kigoma unaliona ni sawa kwa sababu ya hilo la tarehe 3?
Kwanini inasemajeinachekesha,bas hata ile faulo ya tarehe 3 bocco dhidi ya mukoko itolewe faini au sababu refa wa ile mechi hakutoa adhabu?
Wakijibu nitagKaria kukwepa kusalimiana na minziro alipewa adhabu gani?View attachment 1874234
Hili tatizo Tff ndio wana lilea la kupita sehemu ambazo sio rasmi!!kwa kuweka kiwango cha laki 5!! Badirisha iwe milioni 30!!uone kama kuna timu itakayoendekeza ujinga huo!!Hii ikiwa endelevu itafuta upuuzi wa kujifanya mganga kasema tupite huku.
In fact kiasi cha pesa kiwe kikubwa zaidi.
Wachezaji kubaki na chupi siyo jambo la ajabu. Tujifunze kwa waliotuzidi.
Mchezaji amegewa red (au hata asingegewa) kwa faulo ya makusudi au la hayo mambo hua yanaishia hapo. Faini za nje ni kama angetoa maneno machafu.
Kama ripoti inasema hakutoa maneno machafu adhabu ya nje ya nini?
Kumbavu