TFF na bodi ya ligi chutuma, haya maji ni marefu mtazama

TFF na bodi ya ligi chutuma, haya maji ni marefu mtazama

Fikra duni na analyst wa Tanu ndio aliwaweka.

Historia inaonyesha Simba na Yanga zilizaliwa kutoka timu iliyoitwa New Young.

Mwaka 1935 na 1936 baada ya mgawanyiko ndio ikaundwa Young African na Queens zikiwa ndio timu za wazawa.

Ila tofauti yake Simba ikawa ni waafrika waliopata elimu, wafanyakazi wa bandari na watoto wa kata ya Mchafukoge.

Wakati Young Africa ndio timu iliyoundwa na makabwela kutoka bonde la Mto msimbazi , wasio na mbele Wala nyuma na ugmfahamu hafifu.

Hizi timu zote zilishiriki Ligi ya waafrika watupu na kuongeza hamasa ya Ligi.

Hapa hakukuwa na jina la kiafrika Wala kiswahili ila zote zilitumia lugha ya kiingereza tu.

Baadae Simba ikaungana na Arabs football club Ili kuboresha zaidi. Na kuitwa Sunderland

Huku Yanga ikibakia na wahamiaji haramu na wakimbizi kutoka Malawi huko na Burundi.

Baadae Sunderland ikaitwa Eagle F.c
Na kusaidia uhuru wa Tanzania na mwanachama wake Sykes alimpa nauli Nyerere Ili aende Uingereza kudai uhuru.

Young Africa ikabakia timu ya wabaguzi, wasio na elimu, kipato na upeo finyu.

Baada ya uhuru Raisi wa Zanzibar akaomba hizi timu azitumie majina ya kiafrika hivyo Eagle f.c ikajiita Simba s.c ila Young Africa ikabakia na majina ya kikoloni mpaka leo.

Ila wanachama kwa sababu ya upeo mdogo, elimu ndogo wakashindwa kutamka ndio ikaitwa Yanga ambayo haipo popote kwenye katiba yao.

Mazingira: Simba ipo Town ila Young Africa ipo bondeni kule jangwani kwenye mafuriko.

Mpaka leo, hali haijabadilika kabisa
Wanachama wao wanasapoti uongozi wao kwa kugomea mechi wakati wanaijua kitakacho wakuta.

Simba ni Taifa kubwa
Simba nguvu moja
Ubaya Ubwela
Safi uko vizuri!
 
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake. Mtaruka ruka Sana mkitulia game iko palepale
 
Nendeni mkajaribu kushitaki KIFA
Mahakama ya mpira wa miguu duniani:
Hizi kelele zinalenga kuwa pumbaza washabiki wao na kuwahada Simba ili wabweteke kucheza?
Tushajua kitambo njama zenu:
 
Fikra duni na analyst wa Tanu ndio aliwaweka.

Historia inaonyesha Simba na Yanga zilizaliwa kutoka timu iliyoitwa New Young.

Mwaka 1935 na 1936 baada ya mgawanyiko ndio ikaundwa Young African na Queens zikiwa ndio timu za wazawa.

Ila tofauti yake Simba ikawa ni waafrika waliopata elimu, wafanyakazi wa bandari na watoto wa kata ya Mchafukoge.

Wakati Young Africa ndio timu iliyoundwa na makabwela kutoka bonde la Mto msimbazi , wasio na mbele Wala nyuma na ugmfahamu hafifu.

Hizi timu zote zilishiriki Ligi ya waafrika watupu na kuongeza hamasa ya Ligi.

Hapa hakukuwa na jina la kiafrika Wala kiswahili ila zote zilitumia lugha ya kiingereza tu.

Baadae Simba ikaungana na Arabs football club Ili kuboresha zaidi. Na kuitwa Sunderland

Huku Yanga ikibakia na wahamiaji haramu na wakimbizi kutoka Malawi huko na Burundi.

Baadae Sunderland ikaitwa Eagle F.c
Na kusaidia uhuru wa Tanzania na mwanachama wake Sykes alimpa nauli Nyerere Ili aende Uingereza kudai uhuru.

Young Africa ikabakia timu ya wabaguzi, wasio na elimu, kipato na upeo finyu.

Baada ya uhuru Raisi wa Zanzibar akaomba hizi timu azitumie majina ya kiafrika hivyo Eagle f.c ikajiita Simba s.c ila Young Africa ikabakia na majina ya kikoloni mpaka leo.

Ila wanachama kwa sababu ya upeo mdogo, elimu ndogo wakashindwa kutamka ndio ikaitwa Yanga ambayo haipo popote kwenye katiba yao.

Mazingira: Simba ipo Town ila Young Africa ipo bondeni kule jangwani kwenye mafuriko.

Mpaka leo, hali haijabadilika kabisa
Wanachama wao wanasapoti uongozi wao kwa kugomea mechi wakati wanaijua kitakacho wakuta.

Simba ni Taifa kubwa
Simba nguvu moja
Ubaya Ubwela
Umewachana makavu . Watu wasio na upeo wowote waliwezaje kusaidia kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika?
20220802_101051.jpg
 
Rejea historia
Simba ni timu ya wakoloni walianzishwa kupinga Yanga waliokuwa wanafanya harakati za ukombozi

Zamani Simba iliitwa Queens 👑 stars baadae ikaitwa Sunderland ndo likaja jina la Simba au mbumbumbu
1000261599.jpg
 
TFF na taasisi zake zimeshindwa kusimamia maslahi ya football Tanzania

Viongozi wa TFF wamejawa na mahaba na ushabiki Kwa Simba

1. Bodi ya ligi moihairisha mechi mkasema Kuna uvunjifu wa kanuni na Tuhuma za rushwa
Leo mnatoka mnataka kupanga tarehe ya mchezo je hao waliosababisha mchezo kukwama mliwabaini na mmewapa adhabu Gani Kwa kanuni zipi, Au mlifunika kombe mwanaharamu apite

2. Simba walisema mabaunsa wa Yanga walikwamisha ufanyajinwa mazoezi
Hao mabaunsa ni akina nani?

Polisi walishindwa kuwabaini na kuwakamata kuwafungilia kesi ya jinai ya uvunjifu wa amani.

3. Tuseme Simba alizuia kufanya mazoezi
Je kanuni inasema kama timu ikizuliwa mazoezi igomee mechi?

4 TFF walipuuza kusikiliza shitaka la Yanga maksudi
Ili kuinyima haki Yao ya msingi

5 Bodi ya ligi wanaidharau Yanga na viongozi wake
Kusema watapanga ratiba mpya mechi bila kuwaita Yanga na kuwasiliza ni dharau na ushabiki

6. Yanga ina ushawishi mkubwa, ni timu inayovutia wawekezaji kwenye mpira
Kuishusha Yanga daraja msitarajie Azam kuwekeza kiasi kikubwa cha pesa

7. Yanga ni kubwa imepigania uhuru wa nchi
Kuichezea na kuhujumu Yanga huwezi kutoboa utakwama

8 Remote control ya kiongozi TFF inatoka 5imba kuanzia hii hujuma na uhuni

Busara ni bodi ya ligi kujiuzilu hapo mtashawishi Yanga aweke mapanga chini
Kwani nyie yanga mnaogopa nini kucheza?
 
Back
Top Bottom