ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
TFF na taasisi zake zimeshindwa kusimamia maslahi ya football Tanzania
Viongozi wa TFF wamejawa na mahaba na ushabiki Kwa Simba
1. Bodi ya ligi moihairisha mechi mkasema Kuna uvunjifu wa kanuni na Tuhuma za rushwa
Leo mnatoka mnataka kupanga tarehe ya mchezo je hao waliosababisha mchezo kukwama mliwabaini na mmewapa adhabu Gani Kwa kanuni zipi, Au mlifunika kombe mwanaharamu apite
2. Simba walisema mabaunsa wa Yanga walikwamisha ufanyajinwa mazoezi
Hao mabaunsa ni akina nani?
Polisi walishindwa kuwabaini na kuwakamata kuwafungilia kesi ya jinai ya uvunjifu wa amani.
3. Tuseme Simba alizuia kufanya mazoezi
Je kanuni inasema kama timu ikizuliwa mazoezi igomee mechi?
4 TFF walipuuza kusikiliza shitaka la Yanga maksudi
Ili kuinyima haki Yao ya msingi
5 Bodi ya ligi wanaidharau Yanga na viongozi wake
Kusema watapanga ratiba mpya mechi bila kuwaita Yanga na kuwasiliza ni dharau na ushabiki
6. Yanga ina ushawishi mkubwa, ni timu inayovutia wawekezaji kwenye mpira
Kuishusha Yanga daraja msitarajie Azam kuwekeza kiasi kikubwa cha pesa
7. Yanga ni kubwa imepigania uhuru wa nchi
Kuichezea na kuhujumu Yanga huwezi kutoboa utakwama
8 Remote control ya kiongozi TFF inatoka 5imba kuanzia hii hujuma na uhuni
Busara ni bodi ya ligi kujiuzilu hapo mtashawishi Yanga aweke mapanga chini
Viongozi wa TFF wamejawa na mahaba na ushabiki Kwa Simba
1. Bodi ya ligi moihairisha mechi mkasema Kuna uvunjifu wa kanuni na Tuhuma za rushwa
Leo mnatoka mnataka kupanga tarehe ya mchezo je hao waliosababisha mchezo kukwama mliwabaini na mmewapa adhabu Gani Kwa kanuni zipi, Au mlifunika kombe mwanaharamu apite
2. Simba walisema mabaunsa wa Yanga walikwamisha ufanyajinwa mazoezi
Hao mabaunsa ni akina nani?
Polisi walishindwa kuwabaini na kuwakamata kuwafungilia kesi ya jinai ya uvunjifu wa amani.
3. Tuseme Simba alizuia kufanya mazoezi
Je kanuni inasema kama timu ikizuliwa mazoezi igomee mechi?
4 TFF walipuuza kusikiliza shitaka la Yanga maksudi
Ili kuinyima haki Yao ya msingi
5 Bodi ya ligi wanaidharau Yanga na viongozi wake
Kusema watapanga ratiba mpya mechi bila kuwaita Yanga na kuwasiliza ni dharau na ushabiki
6. Yanga ina ushawishi mkubwa, ni timu inayovutia wawekezaji kwenye mpira
Kuishusha Yanga daraja msitarajie Azam kuwekeza kiasi kikubwa cha pesa
7. Yanga ni kubwa imepigania uhuru wa nchi
Kuichezea na kuhujumu Yanga huwezi kutoboa utakwama
8 Remote control ya kiongozi TFF inatoka 5imba kuanzia hii hujuma na uhuni
Busara ni bodi ya ligi kujiuzilu hapo mtashawishi Yanga aweke mapanga chini