TFF haihusiki na mambo ya ndani ya vilabu hivyo kama wachezaji wanapigana misumari ni swala la klub husika lakini inachangiwa na vilabu vyenyewe kwani kamati za ufundi zinashirikisha watu wanaoamini mambo ya ushirikina na pia wanatumia pesa nyingi kwa kutafuta ushindi kwa njia hizo kumbuka milioni 10 alizowapa manji wazee wa yanga ili waifunge simba wakaambulia patupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.