TFDA yakifunga kiwanda cha kuzalisha pombe kali cha TDT wilayani Moshi

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau
TFDA kwa kushirikiana na TRA wamekifunga kiwanda cha kuzalisha pombe kali cha (TDT) kilichopo eneo la Kwa Alfonce Moshi pamoja na kuwaweka mahabusu watendaji watatu wa kiwanda hicho.

Taarifa iliyotolewa na msemaji wa TFDA inataja sababu za kukifungia kiwanda hicho kuwa ni kufanya kazi katika mazingira yasiyoridhisha, uchafu sehemu za kuoshea chupa, Wafanyakazi kukosa vyeti vya kupima afya zao pamoja na Wafanyakazi wa kike kutovaa kofia.

Kiwanda hicho kimepewa muda ili kurekebisha kasoro hizo kabla ya ukaguzi mwingine kufanyika.

Source: MCL
 
TRA imeingiaje hapo, kwani hao wenye kiwanda wamegoma kulipa kodi? Mbona sioni kosa lililowaingiza TRA hapo?
 
TRA imeingiaje hapo, kwani hao wenye kiwanda wamegoma kulipa kodi? Mbona sioni kosa lililowaingiza TRA hapo?
NASKIA HAWA WANATENGENEZA ILE NAMBA ONE NA KUWAUZIA WENGINE ILI WACHANGANYE NA KUTENGENEZA INAYOWEZA KUnywEKA. NIMEWAHI KUONA MATENKA YAO KAMA YANAYOBEBA MAJI YAKIWA DAR. NADHANI HUWA WANASAMbAZA KWA VIWANDA VINGINE. MALIGHAFI wanapata viwanda vya sukari C PIA KATANI ZINAPATIKANA MAENEO HAYO. WAULIZE WANYWAJI WAKUELEZE POMBE iliyotengenezwa kwaA SUKARI GURU NA KATANI ilivyo kalii
 
Back
Top Bottom