Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Give statistical evidence ! Otherwise babu ni muuwaji
Nawe pia lete takwimu vinginevyo huna hoja
Give statistical evidence ! Otherwise babu ni muuwaji
Mkuu, si mmoja...ni wengi!Ningependa kupata ushahidi wa humu jamvini. kuna aliyeshuhudia mtu kupona?
Nawe pia lete takwimu vinginevyo huna hoja
Ningependa kupata ushahidi wa humu jamvini. kuna aliyeshuhudia mtu kupona?
Kulipoibuka tiba ya kikombe cha babu wa Loliondo watanzania wengi hasa viongozi wa dini, wanasiasa na madaktari walikiunga mkono kikombe cha babu lakini sasa wadau hawa hawa wamekigeukia kikombe cha babu na kuitaka serikali ipige marufuku huduma ya Babu Mwaisapile wa Loliondo.
MTIZAMO WANGU NI:
Kwa kuwa Serikali ilishathibitisha kuwa dawa hiyo ni salama kwa matumizi ya binaadamu basi watu waachiwe uhuru wa kwenda kunywa kikombe watakaopona bahati yao nzuri na wasiopona basi wajaribu tiba zingine.
Manake hata dawa za malaria hazimtibu kila mtu nyingine huua kabisa na ushahidi upo so WHAT CAN BE MEDICINE TO YOU MAY BE POISON TO OTHERS(and vice versa is true) likewise common sense is not common to all!
Nawasilisha
Ukweli ni huo, kuwa watu wengi sana wameachana na matatizo waliyokuwA NAYO mara baada ya kupata kikombe.
Ambao hawajapona, well, waangalie taratibu zingine, lakini wasimdharau babu!
Rangi na maumbile yangu hayana tija hapa!we jamaa una roho ngumu kweli,toka enzi hizo unamsapoti babu?bahati yako hujanywa kikombe usingekuwapo jamvini tena.inaonyesha wewe ni jitu nene hivi halafu jeusi tii.
Serikali nzima ikiongozwa na mkuu wa kaya wameshakunywa kikombe cha babu sasa wanamgeuka.
Rangi na maumbile yangu hayana tija hapa!
I just substantiate my thangs with living precedents!...right?
yule aliyeingiza dawa mseto na kuitangazia kwenye vyombo vya habari na kupewa kibali na sasa imegundulika haiwezi kutibu malaria tumfanyej?
mwacheni babu ale bata.
magonjwa yenu ndiyo yaliongeza usugu ngojeni babu aingie tena maabara(maombi) atakuja na kiboko ya magonjwa yenu.
kwa wanaotumia mseto hii dawa haiondoi malaria hasa kwa watoto ni HAIFAI nina ushaidi ya watoto malaria inarudi