PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Mamlaka ya chakula na dawa tunaomba muichunguze dawa ya whitedent, imekua na athari ya kuunguza mdomo,kupasuka na kuufanya mdomo kupoteza test unapo itumia, nadhani kemikali wanayoitumia siyo nzuri kwa kutumia inaathari,