Siku moja nikiwa nimepata safari ya dharura, nikamuaga binti nilokua nimekamilisha taratbu za kumuoa...
Nikiwa ndani ya gari ikaingia txt ikisema "ntakuja geto lakn usinilazimishe yale mambo yako yakulamba koni hua napata kichefu chefu"
Moyo ulipigwa shot ghafla nikiwa siamini macho yangu... nikamtext akawa na kigugumizi chakujibu, dah! niliumia sana na nikajiona sina thamani kabisa duniani.
Nilitamani kujitoa uhai bt nilipga moyo konde then nikamwambia safari yetu ndo mwisho huo bt kamwe sintoisahau kitu hii
je wewe txt ipi ilokosewa na mwenza ilikutesa sana?
Nikiwa ndani ya gari ikaingia txt ikisema "ntakuja geto lakn usinilazimishe yale mambo yako yakulamba koni hua napata kichefu chefu"
Moyo ulipigwa shot ghafla nikiwa siamini macho yangu... nikamtext akawa na kigugumizi chakujibu, dah! niliumia sana na nikajiona sina thamani kabisa duniani.
Nilitamani kujitoa uhai bt nilipga moyo konde then nikamwambia safari yetu ndo mwisho huo bt kamwe sintoisahau kitu hii
je wewe txt ipi ilokosewa na mwenza ilikutesa sana?

