baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,455
- 2,179
Huwa nawaza mama akimaliza mda wake nan atakuwa tena raisi ? AU TUMPE HUYU MKUU WA MKOA WA DODOMA NAONA KAMA ANAMAWAZO MAZURI....nimemsikiliza kwenye clip moja kuhusu mafuta nikaona huyu jamaa anamawazo mazuri kama akipewa nchi akashindwa badilika tutakuwa tume bet vizur