Tetesi ya ugaidi show ya mwana FA

Tetesi ya ugaidi show ya mwana FA

Aiseeee babayangu sijui sugu ameshapanda vip prof na vinega wengine
vinega wamefanya usajili mkubwa sana kiunga dimba la chini lady jd kiungo dimba la juu prof 2naitaji mfungaji sasa nadhani wapo njiani kumnasa ay au niki mbishi
 
Kama mambo ya ugadi basi bora niende sehemu salama!
 
Jamani naombeni uhakika kuhusu hizi tetesi za ugaidi katika show finest ambapo mwanFA anatarajia kuwepo. Kwani baadhi ya watu inasemekana wameonywa kwenda!


bongo kunafitna za kipuuzi,,,,kama c kuharibiana ulaji ni nin><ukisema ugaidi unamaanishaa nini?
 
Jamani naombeni uhakika kuhusu hizi tetesi za ugaidi katika show finest ambapo mwanFA anatarajia kuwepo. Kwani baadhi ya watu inasemekana wameonywa kwenda!


wew,
aliyekwambia,
ningekamata na kuweka maabusu mana mnawapa hofu watz
 
acha ushamba wewe, ubora wa show sio wingi wa watu, kama ishu ni wingi wa watu wangefanya elf 5 kama uwanja wa Taifa mjae.

we mbona unaongea kma taira..... Kwna unafkr anachotaka pale ka co watu..... Nenden wawili uone kama hiyo show itapendeza..... Usiwe mjinga na mawzo potofu show gan inaweza kufanywa bila watu....... Lma hataki watu c nageenda kumwimbia mke wake....
 
we mbona unaongea kma taira..... Kwna unafkr anachotaka pale ka co watu..... Nenden wawili uone kama hiyo show itapendeza..... Usiwe mjinga na mawzo potofu show gan inaweza kufanywa bila watu....... Lma hataki watu c nageenda kumwimbia mke wake....

tulihitajika WATU sio watu ndo mana WATU tupo hapa Makumbusho na watu wapo kwa Mgumba! Mkajipange sana kuifunika Clouds na mbinu hizi za kitoto ni sawa na kujaribu kukausha bahar kwa tambala la deki!
 
Kama kuna ugaidi sasa kwanini tuende huko tulipuliwe!
Labda watuambie ulinzi utakua chini ya FFU na JWTZ si mabaunsa ambao akili zimehamia kwenye vifua!

nimecheka mpk mbavu zimeuma
 
Time kwa muziki wa fleva kufa kwani hauna maana yeyote kwa jamii na tumechoka vimbwenga vyao. Clouds waliwatumia wasanii wa fleva kwa kusafirisha mizigo yao nje huku wanamuziki wakipewa free air time kupigiwa ngonjera zao na ndiyo maana nyimbo zao hazina ubora. Utashangaa mtu anaimba masuala ya pipi kijiti au kusifia bangi kisha wimbo unakuwa TOP HIT Tanzania, yaani basi tu wajinga waliwao. Ruge atawamaliza wote hawa.
 
watu bwana, itakuwa tetesi wameanzisha cloud wenyewe baada ya kupimia hawataweza kumudu show ya jd...
 
tulihitajika WATU sio watu ndo mana WATU tupo hapa Makumbusho na watu wapo kwa Mgumba! Mkajipange sana kuifunika Clouds na mbinu hizi za kitoto ni sawa na kujaribu kukausha bahar kwa tambala la deki!

Acha kujifariji mkuu hakuna msanii yoyote asiyetaka kujaza watu/nyomi kwny show yake!
Na ukubali ukatae jide kafunika,ukweli lzm usemwe
 
Hv MwanaFa kawakosea nini kikubwa? Mtanzania kijana anayehangaikia maisha yake? Hajauwa hajaiba mnamdis kiasi hiki? Sometimes tusishabikie vitu ambavyo ukweli wake hatuufahamu wote!
If u don feel like going to Mwana FA Nenda kwa Jide kila mtu ana style yake au kaa pembeni pata kiroba yako ukalale kwa amani
 
Back
Top Bottom