Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Kuna tetesi kwamba yale maduka maarufu ya shoprite ymefungwa na waajiriwa wote kupoteza ajira pamoja na malipo mengine muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kaa shangaa tu hata mhasibu wao mkuu anatakiwa kwenda bondeni kuwa data clerk kuficha madhambi yao waliyokuwa wanayatenda haswa na watu wa kodi na hawanunui bidhaa za viwanda vya tz kwa sasa kutokana na kufanya huko biashara zao
Mimi siku zote iwa simwamini shy mnajua huyu ni mtunzi angalia huyooooooo katoweka.
Shoprite saizi zinakula vichwa sana eti wafunge duhh ngoja tuisubili hii tetesi.
Nafikiri kariakoo ikiboreshwa vizuri kila kitu kinapatikana fresh from shamba kuliko kwenda pale shoprite unanunua mkaouko wa vitu. Ila watanzania tuna kasumba mbaya sana, hivi kweli unashindwa kwenda kuwaunguisha watanzania wenzio wa kariakoo unaenda kununua uozo wa Shoprite???
Ilimradi utoke unasukuma vifaa vyako kwenye trail ndiyo raha ya mtanzania. Kibaya zaidi shoprite vitu juu sana ukilinganisha na kariakoo.
tafakarini jamani, utumwa mwingine sisi ndiyo waanzilishi kama siyo wendelezaji.