Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
Wakuu Kwema,
Kuna tetesi zinasikika huku mitaani kua Mshambuliaji Hatari wa Timu ya Taifa ya Uganda, "The Uganda Cranes" aliekua akiichezea Club ya Simba, Emmanuel Arnold Okwi amesaini kwa wanajangwani, Dar es Salaam Young Africans (Yanga).
Tetesi hizi nimezisikia hapa kwa kijiweni napoletaga Viatu kung'arisha. Kuna mwenye kufahamu kuhusu hili?
Kuna tetesi zinasikika huku mitaani kua Mshambuliaji Hatari wa Timu ya Taifa ya Uganda, "The Uganda Cranes" aliekua akiichezea Club ya Simba, Emmanuel Arnold Okwi amesaini kwa wanajangwani, Dar es Salaam Young Africans (Yanga).
Tetesi hizi nimezisikia hapa kwa kijiweni napoletaga Viatu kung'arisha. Kuna mwenye kufahamu kuhusu hili?