makubwa
Eeeee hiyo nayo ni uongo wa kweli kabisaa
naomba nisiwachoshe.
Kumekuwa na habari, maneno au fununu kwamba mwanaume mwenye uume mkubwa unaweza ukasababisha asinenepe(umamnyonya mwili).
Je hiikitu inaukweli?
Nihayo tu, nawakaribisha tujadili hili.