Tetesi kutoka kwa watu wa karibu na JK, baada ya kuwateua Zakia Meghji na Shamsi Vuai pia jina la LAWRENCE MARSHA limo kwenye list ya wabunge 10 wakuteuliwa
Anaitwa nani? Na kapitia dirisha lipi?Siyo hayo tu, mwanae meghji ni mbunge viti maalum!!! alimaliza secondari zanaki akisoma KLF!