Tetesi: LAWRENCE MARSHA ateuliwa kuwa MP

Laiti ningekuwa JK nisingemteua mtu ambaye aligombea alafu akashindwa hilo lingenithibitishia kuwa utendaji wa huyo mtu haukubaliki kwa wananchi kwa kifupi ni mbovu.
Lakini kwa huyu swahiba mambo ni tofauti kabisa.
 
hii ndio mijitu ya kufungia... ina pre-empty mambo ili kuharibu au kujifanya inajua, jana mmeweka mitetesi alfu yakaisha

MODS, kwanini msifungie haya majamaa hata kwa wiki moja

kuna siku atakuja na tetesi "mimimkuu najiua" au JK amteua yesu messiah kuwa DC wa kawe

My foot
 
Jk hana cha kuwashangaa mwanza, yeye ni mwanasiasa na anakumbuka sana 1970 pale walipompiga chini the late paul bomani, nyerere aliwagundua fitina yao na akawaonyesha jeuri kwa kumpa ubunge na kumrejesha barazani au amuige mwinyi 90 hapohapo mwanza baada pascal mabiti kumbwaga mzee huyohuyo! Kimsingi bado naamini jk na tz still need lawrence ktk harakati za umma. Pliiz mzee kikwete mrejeshe kijana, namkubali baada ya kukubali makosa ktk advert yake ya 2010 ubunge runingani, ule ndio ujasiri tunaopaswa
 
Ni kama matusi kwetu watanzania kuwarudisha watu ambao watanzania wamewakataa!uyu jk ana matusi sana ya rejareja!shame!
 
Anaweza kurudi ila heshima itapotea mjini kwa yoyote atakayeforce kurudi kama wananchi wamemkataa.
 
Back
Top Bottom