Ukisoma mwongozo mpya uliotolewa Leo na bodi ya mikopo kwa wale wanaopaswa kutuma maombi ya mikopo kwa elimu ya juu na wale wa diploma maalum wameandika kuwa watatoa Tsh 8500//= kwa siku kama pesa ya chakula na malazi kama siyo typing error. pamoja na hayo bado serikali haijafanya fair kwani maisha yamepanda gharama ukilinginisha na pesa ndogo inayotolewa kwa sasa