Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Bwana Muna Qamunga, Aliyeshinda katika uchaguzi wa 31 Oktoba, 2010 kwa Kata ya Endasak, Wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara, Kata anayotoka Waziri wa Nchi Uwekezaji na Uwezeshaji, Mheshimiwa Dr. Mary Nagu, amejiuzulu na kujiunga na CHADEMA na anatazamia kuwania tena kiti hicho kwa tiketi ya CHADEMA.