Tetemeko la ardhi Morogoro

Tetemeko la ardhi Morogoro

Nadhani kuezuliwa mapaa ya nyumba kumetokana na upepo mkali uliovuma usiku kucha kuamkia leo

Ni kweli mkuu,upepo ulikua mkali sana ndio uliopelekea nyumba kuezuliwa,ila kwa nyumba zilizoangusha kuta na kupata mipasuko bila shaka na tetemeko ndio chanzo
 
Na india pia leo hii kumetokea landslides za hatari,nafikiri ni mwendelezo wa hilo tetemeko

Source:Aljazeera Tv
 
njooni nyanda za juu kusini....hiyo ni sehemu ya maisha
 
Kuna baadhi ya nyumba zimepata madhara ikiwemo nyumba kuezuliwa mapaa,nyingine kubomoka sehemu na nyingine kupata crake!uzuri hakuna taarifa juu ya madhara ya moja kwa moja kama majeruhi kwa wanadamu!


Hali kama hiyo unatakiwa utoke nje ya nyumba kabisa, nilifundishwa hivyo nilipokuwa Kigoma...maana kule kila mwaka inapita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom