1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 611
Nadhani kuezuliwa mapaa ya nyumba kumetokana na upepo mkali uliovuma usiku kucha kuamkia leo
Ni kweli mkuu,upepo ulikua mkali sana ndio uliopelekea nyumba kuezuliwa,ila kwa nyumba zilizoangusha kuta na kupata mipasuko bila shaka na tetemeko ndio chanzo