wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Limepita Arusha pia kama saa 12dk 7.....ingawaje dogoni muda wa saa 12dk1 asubuhi hii ya leo j5 tetemeko limepita hapa dodoma mjini limetokea upanda kusini kuelekea kaskazini limechukua kama sekunde 37 sijajua kama kunasehemu yametokea madhara
Duh...... Hiyo ni dalili tosha kuwa kutatokea tetemeko kubwa mjini Dodoma kwenye vikao viwili vya ndani vya CCM na BAVICHA - CHADEMA..........ni muda wa saa 12dk1 asubuhi hii ya leo j5 tetemeko limepita hapa dodoma mjini limetokea upanda kusini kuelekea kaskazini limechukua kama sekunde 37 sijajua kama kunasehemu yametokea madhara
Hata hapa Morogoro tumelisikia! Nikajua tu hili litakuwa mbali na sisi maana kitanda changu kimetikisika kidogo! Ni alfajiri ya leo!NI ARUSHA ASUBUHI HII....13/7/2016.
imetuchangamsha kidogo.
uende wapi sasa?Dodoma Pia, nilitaka nitoke nje kabisa