Rommy Ronny
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 664
- 884
Jaribu kuwa na utu hata tone kidogo... Sidhan kama ni Muda sahihi wa dhihaka.... Mungu anakuonaKesho uje ufipani/ukutani....tuilaumu serikali kwa kuruhusu tetemeko.
Jaribu kuwa na utu hata tone kidogo... Sidhan kama ni Muda sahihi wa dhihaka.... Mungu anakuonaKesho uje ufipani/ukutani....tuilaumu serikali kwa kuruhusu tetemeko.
Mwanza na hayo mawe sijui itakuwaje!!Dah tuliopo mwanza Tanzania ngoja tutoke njeeee
Hali hii hutokea na mara nyingi matetemeko yanayofuata huwa ni madogo ukilinganisha na tetemeko husika ila mara chache yanaweza kuwa makubwa zaidi kuliko tetemeko husina na ndiyo sababu waliothiriwa na tetemeko la ardhi hushauriwa kulala nje kwa siku chache (inaweza kuwa wiki moja au hata zaidi) mpaka hapo itakapoonekana kwamba hali imetulia.
Tunajiandaa kwenda Zambia baby.....Bukoba hatuna amani kabisa maana tetemeko dogo limepita tena mida hii.
Watu tumetoka nje na watoto, kiukweli hakuna amani kabisa.
isomeni number tu.maana hakuna namnaBukoba hatuna amani kabisa maana tetemeko dogo limepita tena mida hii.
Watu tumetoka nje na watoto, kiukweli hakuna amani kabisa.
Mniombee nataka watu waishi kama mashetaniTatizo ni faza nyumba anauchuro flani
kwenye milima mingi nguvu/madhara ya mitikisiko ya tetemeko huwa nackiaa sioo kubwa sana kama maeneo ya tambarareMwanza na hayo mawe sijui itakuwaje!!
Any way Mungu atunusuru na haya majanga asili(natural disasters)
Siasa gani tena?Acha siasa na hii kitu