MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 403
Tesla imeungana na Apple, Amazon, Google, Facebook na Microsoft kuwa na historia ya kufikisha thamani dola ya Tril 1. Apple ilikuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya dola Trillioni 1 mwaka 2018.
Tesla imepanda thamani baada ya kupata dili la kuuza magari 100,000 kwa kampuni ya Hertz.
Tesla imepanda thamani baada ya kupata dili la kuuza magari 100,000 kwa kampuni ya Hertz.