Mimi ni mchaga, kwanini mtu anisumbue wakati sio ndugu yangu?Wachaga hawawezi kukuelewa kwao kuchangia Sio swala la hiari ni la lazima utake usitake.Unakuta mwenyekiti anafoka kuwa kima Cha chini hiki hapa utatoa wapi utaiba au vipi lazima utoe
Ukoo ni mkubwaMimi ni mchaga, kwanini mtu anisumbue wakati sio ndugu yangu?
Ndugu zangu ni baba wadogo na mashangazi waliozaliwa na baba yangu wengine watanisamehe.Ukoo ni mkubwa
Halo JF.
Nipo hapa Nyumbani nasikiliza Terminal ya clouds FM radio ya jiji la karaha na raha la Dar.
Wanaonekana kupinga michango ya harusi wakidai sio lazima. Wote Haris Kapiga na Vivian Mwasha na mgeni mwalika wanasema eti nichango ya harusi sio lazima na inabidi ihusishe ndugu tu kama wafanyavyo wenzetu Rwanda na Kenya na pia Uganda.
Sasa najiuliza hivi Harris na Vivian siku wakioa au kuolewa hawakuchangiwa. Wameenda mbali kwa kusema Tanzania ni nchi ya kishamba mtu kusumbua michango hata kwa watu wasio nduguze.
Hiki ni kipindi cha hovyo kabisa clouds FM kwani kila nchi na utamaduni wake. Ikumbukwe pia ujamaa wa MWL Nyerere ulihimiza undugu na kushirikiana na pia kusaidiana kwa hali na Mali.
NB: Mods naomba mada isome wanapiga kampeni dhidi ya michango ya harusi.
Ni Lilian, nimechapiaHivi ni Vivan au Lilian
Safi sana hii, kusaidiana hata kwenye mitaji hili hufanyikaWachaga hawawezi kukuelewa kwao kuchangia Sio swala la hiari ni la lazima utake usitake.Unakuta mwenyekiti anafoka kuwa kima Cha chini hiki hapa utatoa wapi utaiba u utatoa wapi utajijua lazima utoe
Kabisa.Kipindi kizuri sema we huelewi tu
Lkn sasa wa tz misiba wanatoa buku na mgonjwa wanaenda kumuona na chupa ya chai na maandazi ya jero lkn harusi kamati 100000,double 70000 na single 40000 mpaka kadi zinaisha.Michango ya harusi ni ujinga
Michango ya msiba na ugonjwa ndio muhimu zaidi
aaaaahhhhhaaaaaaaahhhLkn sasa wa tz misiba wanatoa buku na mgonjwa wanaenda kumuona na chupa ya chai na maandazi ya jero lkn harusi kamati 100000,double 70000 na single 40000 mpaka kadi zinaisha.
Upuuzi mtupu
Hajamsahau kwa mchango mdogo au wosia?Kuna wakati kuna jamaa yangu alikuwa anafatilia michango kufanikisha harusi yake. Kuna boss mmoja alimsumbua sana. Boss katoa ahadi lakini jamaa kila akienda anakula kalenda. Siku moja akamuita na akaanza kumpa wosia mrefuu kama wote vile halafu akamkabidhi jamaa elfu 10 km mchango wake. Jamaa yngu kila ukikutana nae anasema hajawahi kumsahau yule bwana ktk maisha yake.
Mkuu mimi nikienda harusini /send off either directly nimechangia 70k au cost sharing( kuchangia 35k watu wawili), nahakikishaKweli kuchangia harusi ya mtu ambaye sio wa karibu kabisa ni ushamba. Unachangia laki unapata kinywaji kimoja maana gharama nyingi za ziada (kukodisha magari ya ajabu ajabu, farasi, n.k.) zinapunguza bajeti za vyakula na vinywaji. Tena mara nyingi "wenyeviti wa idara" (k.m. chakula, upambaji n.k.) wanapata "cha juu" kwa kumleta mhusika anayetoza gharama kubwa kuliko inavyostahili. Nimewahi kuona harusi ambazo kamati ya maandalizi imeweka "sherehe ya kujipongeza" kwa sababu michango ilibaki. Yaani badala ya kuwapa maharusi hiyo baki iwasaidie kwenye kodi ya pango au kwenye ujenzi kama tayari wana kiwanja, kamati inazila hizo fedha. Halafu mwisho wa siku baada ya harusi ya kifahari sa-a-na ndoa inavunjika (wakati mwingine hata mwaka haujaisha). Napendekeza muoaji aite tu marafiki wa karibu, wajomba, mashangazi, na wazazi na ndugu upande wa mume na mke. Jumla ya watu isizidi 50. Na gharama isizidi milioni nne. Mradi picha na video ziwepo basi. Kama gharama ni ndogo hapatakuwepo haja ya kuomba michango mingi. Siku hizi unaweza kujikuta una kadi nne au tano zinataka michango kila mwezi. Na ukimchangia mtu elfu 20 anakudharau. Si afadhali kuacha kuchangia kuliko kutoa pesa kibao kila mwezi kuchangia harusi? Mwisho kabisa:- Kwenye mila za makabila mengi ni watu wa ukoo tu ndio walikuwa wanachanga, na kwenye makabila mengi michango ilikuwa ni vitu vya kusaidia maharusi katika maisha yao yajayo (yaani fenicha na vyombo vya ndani) na sio pesa za kwenda kula na kunywa.
Hata mimi naunga mkono, sijawahi kuchangia mtu harusi na sitakaa nichangie. Siku ya harusi yangu napanga budget ya watu 150 tuu basi bila kuchangisha. Hizo zama za michango zilishapitwa na wakati tubasilike.Halo JF.
Nipo hapa Nyumbani nasikiliza Terminal ya clouds FM radio ya jiji la karaha na raha la Dar.
Wanaonekana kupinga michango ya harusi wakidai sio lazima. Wote Haris Kapiga na Lilian Mwasha na mgeni mwalika wanasema eti nichango ya harusi sio lazima na inabidi ihusishe ndugu tu kama wafanyavyo wenzetu Rwanda na Kenya na pia Uganda.
Sasa najiuliza hivi Harris na Lilian siku wakioa au kuolewa hawakuchangiwa. Wameenda mbali kwa kusema Tanzania ni nchi ya kishamba mtu kusumbua michango hata kwa watu wasio nduguze.
Hiki ni kipindi cha hovyo kabisa clouds FM kwani kila nchi na utamaduni wake. Ikumbukwe pia ujamaa wa MWL Nyerere ulihimiza undugu na kushirikiana na pia kusaidiana kwa hali na Mali.
NB: Mods naomba mada isome wanapiga kampeni dhidi ya michango ya harusi.
Kuchangishana harusi ninkuendekeza umasikini . Mwalimu Nyerere hakufundisha kuchangia bia na kusaza ila kuchangia maendeleo.Halo JF.
Nipo hapa Nyumbani nasikiliza Terminal ya clouds FM radio ya jiji la karaha na raha la Dar.
Wanaonekana kupinga michango ya harusi wakidai sio lazima. Wote Haris Kapiga na Lilian Mwasha na mgeni mwalika wanasema eti nichango ya harusi sio lazima na inabidi ihusishe ndugu tu kama wafanyavyo wenzetu Rwanda na Kenya na pia Uganda.
Sasa najiuliza hivi Harris na Lilian siku wakioa au kuolewa hawakuchangiwa. Wameenda mbali kwa kusema Tanzania ni nchi ya kishamba mtu kusumbua michango hata kwa watu wasio nduguze.
Hiki ni kipindi cha hovyo kabisa clouds FM kwani kila nchi na utamaduni wake. Ikumbukwe pia ujamaa wa MWL Nyerere ulihimiza undugu na kushirikiana na pia kusaidiana kwa hali na Mali.
NB: Mods naomba mada isome wanapiga kampeni dhidi ya michango ya harusi.