Ass!Already you're a fool before arguing! There's no difference before or after! You still be a great fool as you used to be!
Ass!Already you're a fool before arguing! There's no difference before or after! You still be a great fool as you used to be!
Kabisa kabisa!Halafu sisi tunapandishiwa tu tozo.Hii kesi yenyewe tu ilivyo ni kama uhujumu uchumi fulani
Mhhh matusi tena!Ass!
Hakika. Hasa wakati tukisubiri ushahidi mzito usioacha shaka aliotuambia Siro kwamba jeshi lake linao.Kama ni gaidi au sio gaidi mahakama itathibitsha
Tuwe watulivu tuu
Na Mungu ampe Lilian na watoto wake imani
Naiona hoja yako, kesi hiyo imetufumbua macho na kufundisha mengi sana kuhusu watawala na vyombo vya ulinzi na usalamaMimi nataka hii kesi iendelee hivi hivi twende hadi Mahakama ya Rufaa ili hawa washenzi wazidi kuumbuka
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Lakini yote kwa yoye wabunge kama mia tatu na Polisi wasiozidi elfu 20 hawawezi kamwe kuishinda nguvu ya Umma. Hata Jeshi kama limewekwa mkononi itakuwa ni Mabeyo tu kwani askari wa chini wakigeuka wakubwa hawana mikono elefu moja moja ya kubeba bundkuki.Naiona hoja yako, kesi hiyo imetufumbua macho na kufundisha mengi sana kuhusu watawala na vyombo vya ulinzi na usalama
Nakuelewa sana mkuu. Ila kwa hii kesi wasipochukua tahadhari, wajiandae kwa kitu kizito. Mambo yameparanganyika sana. Wananchi wamehamaki, chuki ikiendelea namna hii hapatakua na utulivu.
Ni kweli Christmas hii inaweza ikwa sio nzuri sana. Hamna mpenda haki yeyote anayefurahia Mbowe kuwa ndani kijanga vile! Hata mimi mwenyewe MwnaCCM!Nakuelewa sana mkuu. Ila kwa hii kesi wasipochukua tahadhari, wajiandae kwa kitu kizito. Mambo yameparanganyika sana. Wananchi wamehamaki, chuki ikiendelea namna hii hapatakua na utulivu.
Wana ushahidi wa makaratasi ya kufungia mandazi, Kuna kakundi la watu kama 30 ,kametuaribi, kametuchafulia TaifaNyie endeleeni tu kuwapa matumaini ya uongo wafuasi wenu. Serikali wana ushahidi wa ugaidi. Ujanjaujanja wa kiwakili hauwezi kuepusha kesi kuendelea hadi hukumu.
Kupata vichekesho vingine kama hivi waweza kubofya www.kujiliwaza@JF. tzMawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia Wanasheria wa Serikali walivyotoka jana wanadai kuwa iwapo uamuzi utatoka kuonesha Mtuhumiwa Ling'wenya aliteswa basi Serikali itaendelea kuumbuka.
Kutokana na hali ilivyo na kwa dalili walizoziona kwenye kesi ndogo iliyokamilika kusikilizwa jana wameshauriana wawasilishe ombi la "Nolle" ili kesi isiendelee na watafute namna ingine ya kujisafisha.
Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.
Mashahidi muhimu kina Kingai wanatoa ushahidi wa kula nyama choma na kunywa MO energy, eti huo ndo ugaidi!Serekali imeshatoa mashahidi zaidi ya 10 na wala hakuna mwenye ushahidi wowote hadi sasa zaidi zaidi ya siasa za kitoto. Sana sana wale waliokuwa wanatumiwa na yule kiongozi muovu aliyeko motoni a.k.a jiwe, wa kundi la watu wasiojulikana ndio wanazidi kufahamika.
Huo ushahidi upo matakoni kwako?Jinga sn weNyie endeleeni tu kuwapa matumaini ya uongo wafuasi wenu. Serikali wana ushahidi wa ugaidi. Ujanjaujanja wa kiwakili hauwezi kuepusha kesi kuendelea hadi hukumu.
UGAIDI wa kula nyama choma na kunywa MO energy!Ugaidi upi unaouzungumzia hapa?hivi kwa akili zake timamu unaona kuna ugaidi pale?
UGAIDI wa kula nyama choma na kunywa MO energy!Ugaidi upi unaouzungumzia hapa?hivi kwa akili zake timamu unaona kuna ugaidi pale?
Mbona mashahidi muhimu kina Kingai wanatoa ushahidi wa kula nyama choma na kunywa MO energy tu? Kunywa MO energy ni ugaidi kumbe?Mbowe ni GAIDI, chagadema acheni kuweweseka.
Kuna BRAIN ya kwende msalani tu ipo.Is there human being who do not have brain?! Are you ass?