Terehe 14 Disemba, 2021, DPP atawasilisha Nolle kesi ya akina Mbowe?

Naiona hoja yako, kesi hiyo imetufumbua macho na kufundisha mengi sana kuhusu watawala na vyombo vya ulinzi na usalama
Lakini yote kwa yoye wabunge kama mia tatu na Polisi wasiozidi elfu 20 hawawezi kamwe kuishinda nguvu ya Umma. Hata Jeshi kama limewekwa mkononi itakuwa ni Mabeyo tu kwani askari wa chini wakigeuka wakubwa hawana mikono elefu moja moja ya kubeba bundkuki.
 
Nakuelewa sana mkuu. Ila kwa hii kesi wasipochukua tahadhari, wajiandae kwa kitu kizito. Mambo yameparanganyika sana. Wananchi wamehamaki, chuki ikiendelea namna hii hapatakua na utulivu.
Nakuelewa sana mkuu. Ila kwa hii kesi wasipochukua tahadhari, wajiandae kwa kitu kizito. Mambo yameparanganyika sana. Wananchi wamehamaki, chuki ikiendelea namna hii hapatakua na utulivu.
Ni kweli Christmas hii inaweza ikwa sio nzuri sana. Hamna mpenda haki yeyote anayefurahia Mbowe kuwa ndani kijanga vile! Hata mimi mwenyewe MwnaCCM!
 
Nyie endeleeni tu kuwapa matumaini ya uongo wafuasi wenu. Serikali wana ushahidi wa ugaidi. Ujanjaujanja wa kiwakili hauwezi kuepusha kesi kuendelea hadi hukumu.
Wana ushahidi wa makaratasi ya kufungia mandazi, Kuna kakundi la watu kama 30 ,kametuaribi, kametuchafulia Taifa
 
Mawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia Wanasheria wa Serikali walivyotoka jana wanadai kuwa iwapo uamuzi utatoka kuonesha Mtuhumiwa Ling'wenya aliteswa basi Serikali itaendelea kuumbuka.

Kutokana na hali ilivyo na kwa dalili walizoziona kwenye kesi ndogo iliyokamilika kusikilizwa jana wameshauriana wawasilishe ombi la "Nolle" ili kesi isiendelee na watafute namna ingine ya kujisafisha.

Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.
Kupata vichekesho vingine kama hivi waweza kubofya www.kujiliwaza@JF. tz
 
Serekali imeshatoa mashahidi zaidi ya 10 na wala hakuna mwenye ushahidi wowote hadi sasa zaidi zaidi ya siasa za kitoto. Sana sana wale waliokuwa wanatumiwa na yule kiongozi muovu aliyeko motoni a.k.a jiwe, wa kundi la watu wasiojulikana ndio wanazidi kufahamika.
Mashahidi muhimu kina Kingai wanatoa ushahidi wa kula nyama choma na kunywa MO energy, eti huo ndo ugaidi!
 
Nimemuona maza yupo na Warioba/ Attorney General wa zamani huenda kweli kuna nolle inakuja......
ama kama sio nole kuna kifungo chenye ku attract fine kinakuja.......
am just gessing tule beer weekend ya kwanza December hii....
 
Hio kesi haiwezi futwa Katu ni hadi wamalizie maghorofa yao,unajua wanavuta ngapi kama posho waliopo kwenye chain ya kesi hio.Majaji wanavuta ndefu zaidi kuliko wote.
Kesi biashara.
 
Back
Top Bottom