Tenga Rais wa TFF unasikitisha sana..siku hizi nawe umekuwa mwanasiasa. Eti "football and TV are inseparable" ni mala ngapi timu zetu za taifa zimecheza bila kuoneshwa katika TV....hasa siku za hivi karibuni (Wakuu Tenga aliyasema haya wakati akihojiwa na Mlambo wa supersport kabla ya mtanange wa simba na yanga leo)