Tendo la ndoa mara ngapi ki-afya?

Tendo la ndoa mara ngapi ki-afya?

Mala mbili kwa wik, haina kukomoana na goli liwe moja kwa kila hzo cku mbili..ukizdisha basi mawili tofaut na hapo utakua unammuumiza mwenzi wako
 
kama ni kwa siku kiafya ni mala 2 usiku na alfajili kamoja ka kutosha ,na kama kwa wiki basi ijumaa kuamkia j mosi mala 3 na j mosi kuamkia j 2 piga show safi mala 3 then wiki mzima unakua safi na mnakua mnataman wkend ifike ndivyo tulivyoish sisi bibi zenu enzi zile na babu zenu na ndoa zilidumu sasa nyie wa leo mm hata nashindwa kuelewa
 
ndoa ni sakramenti kwa hiyo kama mtu anahimizwa kupokea sakramenti mara moja kwa siku basi kama vp mara moja tu kwa wiki
 
5 times a day .early morning,after shower by 7am,lunch break 12pm , 5pm after tea time ,8pm while watching Tv or porno, 12 am goodnight

Kazi mtanafanya saa ngapi kama frequency ni hiyo hapo juu?
 
Back
Top Bottom