kelele zao zinachosha wakati tumewabeba.Kweli aisee hawa jamaa wamezidi kulialia.
watake wasitake lazima muungano udumu.Kwani muungano lazima udumu? Hakuna kinachodumu kwa kulazimishana. Upande wa pili hawataki hii kitu ya nchi moja kiutawala. Hili liko wazi-ukilazimisha muungano utakufa kwenye mioyo ya watu na sidhani kama hilo ndo tulitakalo.
Itabidi kuelewana kupitia mazungumzo na si kulazimisha. Uliwasikia juzi walisema mkizima umeme watawasha vibatari.....ikawaje baada ya hapo?watake wasitake lazima muungano udumu.
hakuna mazungumzo watulie tu.Itabidi kuelewana kupitia mazungumzo na kulazimisha. Uliwasikia juzi walisema mkizima umeme watawasha vibatari.....ikawaje baada ya hapo?
Jiulize kwa nini hakuwafanya hivyo?Ni kweli mkuu, Nyerere alipaswa kuwafanya mkoa tangu tarehe 26/04/1964
Ukiimeza Zanzibar hupati Tanzania!!!Wakuu.
hizi kelele za muungano kila kukicha muungano kwa watu wanatutegemea naona iwe mkoa tu tuwe na nchi moja Tanzania ili tusonge mbele kelele zitatupoteza na wale watakaotaka kuuvunja washughulikiwe kisawasawa wasituvurugie amani.
Sio mkoa mkuu. Zanzibar ni nchi inayoundwa na visiwa vya Unguja na Pemba na vile vidogovidogo pia ni mji ndani ya mkoa wa Mjini.Kwani zanzibar sio mkoa?
Nchi gani haina jeshi la ulinzi wa mipaka yakeSio mkoa mkuu. Zanzibar ni nchi inayoundwa na visiwa vya Unguja na Pemba na vile vidogovidogo pia ni mji ndani ya mkoa wa Mjini.
Hakuna muungano huo, jina Tanzania limetokana na Tanganyika na Zanzibar.Muungano wa Tz Na Zbar ni nini kwa tafsiri rahisi ili.vizazi vijavyo vijue
Hapana ni Jimbo.Kwani zanzibar sio mkoa?