Nitaenda mimi ndo nije nikufunzeNitakufunza mwenyewe chumbani
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kwani bebe nikikufundisha kungfu uanaume wako unatoka?Nani mwaume nyumbani sasa
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kwani kuna ubaya gani mimi nikikulinda babyKwanini nisikufujze mm.. wee ndio unanilinda su mm ndo natakiwa nikulinde
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Basi sawa babeJukumu kako ni kulinda watoto wetu ila jukumu langu ni kukulinda ww na watoto
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Apo ni ivi Jamaa katoa shukrani kwa Google kwa ku Spell jina la Anord Swasniger
Mbona mitandao huwa inaleta suggestion hapo usikute aliandika osas tu kitu kikajibuApo ni ivi Jamaa katoa shukrani kwa Google kwa ku Spell jina la Anord Swasniger
Ila uyo jamaa kwenye comment ka quote jina la mshikaji wake pila msaada wa google, alafu ni ngum zaid ya ilo la Anord
Sent using Jamii Forums mobile app
10yearschallenge View attachment 998522View attachment 998525View attachment 998526
Sent using Jamii Forums mobile app
Inahitajika thinking power kuielewa hii, sawa mkuu naona limebaki tobo tuuNawachora tuu