Ten things you should know about the Igunga By-Election..

You still need comprehensive lessons in grammar not to mention your over-stretched sentences and repeated absence of necessary punctuation. A full stop is represented by a single dot (.) and not a trail of dots (.......)

Naona kama una muonea wivu kwa kukibandika kiingereza cha malkia ndugu! kama wivu vileeeeeeeee!
 

Aisee mwandishi wa hiyo habari ni mwehu kabisa, akapimwe akili, yaani amenukuu habari nzima tena afadhaliangefanya hivyo kwa yeye kuwepo matukioni
 
Kwahiyo Kafumu ndio atachukua Wizara ya Madini? nasikia Kikwete ndie anayemsikiliza sana hapo wizarani
 

Uchambuzi huu una mapungufu mengi:
1. Pamoja na kwamba lengo la vyama vyote lilikuwa kushinda kiti cha Ubunge, mafanikio katika zoezi zima la Igunga hayawezi kufungwa tu katika kushinda ubunge. mwanafunzi huyu wa PhD alitakiwa kuliona hili. kwa CHADEMA ambayo haikuwepo Igunga mpaka miezi 2 tu iliyopita, kufanya ilivyofanya, na hizo asilimia ilizopata, huwezi kupuuzia jambo kama hilo. uchambuzi hauwezi kujifunga katika matokeo ya leo tu, lazima kuangalia implications kwa chaguzi zijazo. kwa mfano, hao anaosema walikuwa na umri wa miaka 15-17 kuwa ndio wapenzi wa CHADEMA, wote watakuwa na umri wa kupiga kura katika uchaguzi wa 2015, na kwa hiyo idadi ya wapenzi wa CHADEMA itaongezeka zaidi kadiri siku zinavyokwenda.

2. CCM wametumia rafu nyingi ikiwa ni pamoja na kutumia viongozi wa serikali na nafasi zao. hii inaonesha kwamba CCM wanazidi kuondoka katika siasa na kujishikiza kwa vyombo vya serikali. hili haliwezi kufunikwa na "ushindi wa Igunga".

3. kuishambulia CCM ni mbinu muafaka. ndicho chama kilicho madarakani, na ndicho kilikuwa kinatetea jimbo. mwandishi akumbuke kwamba kabla ya uchaguzi huu, CUF ndio ilikuwa chama rasmi cha upinzani jimboni hapo. lakini kampeni za CHADEMA zimewapeleka kuwa chama pinzani katika jimbo hilo. ni wajibu wa CHADEMA sasa kuimarisha mtaji huu mpya, imani waliyopewa na wana Igunga si haba. itawasaidia sana 2015. daima waangalie mbele, sio kutuama katika mambo ya jana kama msomi huyu wa "PhD" anavyotaka kutusadikisha.

4. ni vizuri kukumbuka kwamba maeneo ya Igunga yana watu ambao ni wagumu kukumbatia mageuzi. wanakumbatia serikali na kungojea wapewe maelekezo. ndio maana kuanzia mkuu wa wilaya mpaka ngazi ya chini ya utawala, walikuwa katika kuhakikisha ujumbe wa serikali ni kuchagua ccm tu, na kutumia mbinu chafu kutekeleza hilo. lakini pamoja na yote hayo, kuna kila sababu ya CHADEMA kushangilia kwa sababu pamoja na mazingira hayo magumu, wameweza kupata asilimia nzuri. yaliyoshindikana miaka yote hiii yanaweza kufanyika 2015. big up!!
 
nilipomwona Mkapa Igunga na blahblah zake nikakumbuka ya kuwa kama angelipewa huu wimbo wa Madonna pengine angeliachilia mbali kujitokeza kwenye majukwaa.....................................Papa don't preach...............................

 
Last edited by a moderator:

Chadema's defeat was also blamed on the party's failure to localise its campaigns. According to Mr Wiston Joseph, Chadema used people from outside Igunga such as its MPs and other party officials while CCM relied heavily on locals.

And later you say, Mkapa and January Makamba were of great help to CCM - are they locals to Igunga.
Consider all the Government machinery that went there - Magufuli, Nahodha ad the like. Add Mukama, Nape etc,
Your comment is not well balanced because what you tell as CDM weaknesses;is the same as what ccm did.
To me a difference of 3000 votes is a big up for CDM.
Another problem we should address is apathy. I can't understand why about 120,000 voters didn't turnup?
Something is wrong - I think the daftari la kudumu has a lot of problems. Consider the cost of 120,000 ballot papers not used; consider the cost to CDM of keeping these ballots out of centers etc.
 

ninaafiki na haya mawazo kwa asilimia mia...............ingawaje siyo kweli watu wa Igunga ni wagumu kukumbatia mageuzi kwa sababu uamuzi wao wa kutopiga kua ni dhahiri hawahafiki na khali iliyopo na ya kuwa hawaamini mfumo wa kisiasa utawatendea haki.............................kwa hiyo wanafanya mgomo baridi...........................tafakari wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya laki moja na sabini lakini waliopigakura ni asilimia 30...............hizi takwimu zina uzito wake............
 

bila ya katiba mpya itakao ondoa ukiritimba wa madaraka ya Raisi kujaza jamaa zake kwenye taasisi za umma kama NEC..................voter apathy is a thing to stay for a very long time.....................................because it expresses what we all desire.....................unless there is a free and fair election why waste your vote............................and time when you well know your vote will be stolen by ccm thugs.............
 
kingereza kigumu sijaambua kitu!
 

bila ya katiba mpya inayomwogopa Muumba kwa kuondoa aina zote za dhuluma hakuna yeyote anaweza kuibadilisha khali hi labda kwa kupitia machafuko kama yale yaliyoikumab kenya na yaelekea viongozi waliopo madrakani hivi sasa wanatujengea mazingira ya kumwaga damu...............kenya wakina Moi walikazana kukataa katiba mpya.........................lakini damu iliyomwagika 2007/08 ndiyo iliandika dibaji ya katiba yao mpya........................sidhani kama tuna ujanja wa kuwepa historia hiyo ya majirani zetu.........................blood shed is sometimes good for our own sake..............................hata nyumbu pamoja na upumbavu wao huwa wanatoa zaka ya wachache wao kwa mamba ili waweze kupitia mto mara......................................
 
kingereza kigumu sijaambua kitu!

pole sana...................kwa kifupi ni katiba mpya tutakayojiandikia wenyewe ndiyo itatutoa kwenye lindi la umasikini tusikubali JK na wezi wenzie watuibie haki yetu ya kuandika katiba mpya itakayoondoa dhuluma za aina zote.........................vinginevyo mahudhurio kwenye kura yataendelea kupungua kwa sababu tunachopinga ni kuhadahiwa na viongozi waliopo ambao wanawatumia watendaji kwenye serikali za mitaa akina DED kupanga matokeo..................................na NEC ni sehemu ya uozo uliopo serikalini............................tusipofanya hivyo basi tusubiri damu kumwagika kama ilivyotokea Kenya......................na kuanzia hapo watawala na watawaliwa tutajifunza sote kuheshimiana.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…