Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Halimashauri ya wilaya ya Temeke ni Halimashauri mojawapo inayo ongoza nchini kwa ukusanyaji wa mapato ikifatiwa kwa karibu sana na Kahama. Cha kushangaza na kusikitisha wilaya hii katika barabara zake hakuna hata taa moja ya kuongozea magari ...tembelea maeneo ya kwa Sokota,Taifa,Chang'ombe n.k hakuna taa na kama zipo basi zipo likizo.
Hivi swala la kuweka taa barababarani ni la TANROADS? Tunashuhudia ajari nyingi barabarani na foleni nyingi ambazo hazina lazima.
Hili swala nani anapaswa kulishughulikia?
Hivi swala la kuweka taa barababarani ni la TANROADS? Tunashuhudia ajari nyingi barabarani na foleni nyingi ambazo hazina lazima.
Hili swala nani anapaswa kulishughulikia?