Duuh! Sijakuelewa mkuu, ukiguswa 0713....unapatwa na genye!!Na kutiana magenye yasiyotarajiwa!!!!
Wewe sasa unataka kubadilisha akili za watu waanze kubana miguu au kuingiza mikono mfukoni..... Maumivu ya kichwa huanza pole pole..... Kuna watu washasema hapa usianzishe genye.... Na wapo wanakusikia.Kama kinachamba kwa pressure kubwa hivyo ina maana inabidi mtu asaule nguo zote.
Ni Toilet paper aliyokaushia papuchi yakeHalafu mbona kama wazungu ndani ya hicho Choo, mtu katoka kupiga puli kaacha wazungu wakieleaelea.
Nimejikuta vuupu nipo humu eti haha poleDot dot dot dot...... hahahahahaa that was my first thread as Kasinde.. .. moja ya holiday as Kasie ndo nikakutana na vyoo vya jinsia hiyo.
Vizuri kwa kina mama viko sana nchi ambazo Moslems ni majority ya population,View attachment 130655
Tembea uone katika pitapita zangu huko duniani nimekutana na choo hiki, msema ukweli mpenz wa Mungu, sijawahi kuona choo cha namna hii ni mara yangu ya kwanza. Yaani choo kina kibomba kwa nyuma katikati ukimaliza shuhuli yako unafungulia maji yanaruka kwa speed hadi kwenye papuchi au 0713 kukunawisha huhitaji kupeleka mkono wako huko. Pressure ya maji inaondoa ukoko wote.
Hiki kitafaa sana master bedroom, karibuni tushangae wote, kama ulishawahi kukiona basi close thread ufungue ingine ambao hamkuwahi kukiona kama mie endeleeni kushangaa na mkiagizie muweke majumbani yenu.
Vingine ambavyo huwa navi admire ni vyoo vya automatic flash.
Haha... ngoja niendelee kuperuzi peruziUsijaliii hiyo ni sehemu katika matukio yanayotukia.....
Vizuri kwa kina mama viko sana nchi ambazo Moslems ni majority ya population,
Kasie hujambo mpenzi?
And Mamy...Have your time...
Oooh na huko nilikokikuta ilikuwa moja ya nchi as kiislamu.
Moe sijambo, ila mapenzi ya Kiraka na Kasie yameanza lini.... kutokea wapi na kuelekea wapi....
Yako miaka nenda rudi mioyoni mwetu, sasa yamejaa yameamua kujitokeza tu...
Yaani hata mimi sijielewi... twende taratibu tujajua.
Softly and smoothly.. playing if you do I do Game.Daby and Kasie have time together.. .. holding each other close and tight to each other.
Hata kariakoo nilikipataView attachment 130655
Tembea uone katika pitapita zangu huko duniani nimekutana na choo hiki, msema ukweli mpenz wa Mungu, sijawahi kuona choo cha namna hii ni mara yangu ya kwanza. Yaani choo kina kibomba kwa nyuma katikati ukimaliza shuhuli yako unafungulia maji yanaruka kwa speed hadi kwenye papuchi au 0713 kukunawisha huhitaji kupeleka mkono wako huko. Pressure ya maji inaondoa ukoko wote.
Hiki kitafaa sana master bedroom, karibuni tushangae wote, kama ulishawahi kukiona basi close thread ufungue ingine ambao hamkuwahi kukiona kama mie endeleeni kushangaa na mkiagizie muweke majumbani yenu.
Vingine ambavyo huwa navi admire ni vyoo vya automatic flash.