Tembea Uone, Inafaa sana Master Bedroom

Tembea Uone, Inafaa sana Master Bedroom

Duuuuh kuna wale watu wa mambo hayo mimi hata kujaribu sitaki....Tena unasema maji yanatoka kwa presha kubwa!!!
Pepo la majaribu ng'okaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
 
Umetisha kaka kwani kono la kushoto hujui kaziyake?
 
naona cameroon anatumia mbinu nyingi kupata wafuasi...
 
View attachment 130655

Tembea uone katika pitapita zangu huko duniani nimekutana na choo hiki, msema ukweli mpenz wa Mungu, sijawahi kuona choo cha namna hii ni mara yangu ya kwanza. Yaani choo kina kibomba kwa nyuma katikati ukimaliza shuhuli yako unafungulia maji yanaruka kwa speed hadi kwenye papuchi au 0713 kukunawisha huhitaji kupeleka mkono wako huko. Pressure ya maji inaondoa ukoko wote.
Hiki kitafaa sana master bedroom, karibuni tushangae wote, kama ulishawahi kukiona basi close thread ufungue ingine ambao hamkuwahi kukiona kama mie endeleeni kushangaa na mkiagizie muweke majumbani yenu.
Vingine ambavyo huwa navi admire ni vyoo vya automatic flash.

mambo ya india haya...kinasaidia kupoza ukali wa pilipili
 
kizuri lakin vyoo vya namna hiyo hata ambacho hakin bomba katikat ukienda toilet haja kubwa haiishi vizur na pia kama cyo chako ndan unaondok na magonjwa
 
View attachment 130655

Tembea uone katika pitapita zangu huko duniani nimekutana na choo hiki, msema ukweli mpenz wa Mungu, sijawahi kuona choo cha namna hii ni mara yangu ya kwanza. Yaani choo kina kibomba kwa nyuma katikati ukimaliza shuhuli yako unafungulia maji yanaruka kwa speed hadi kwenye papuchi au 0713 kukunawisha huhitaji kupeleka mkono wako huko. Pressure ya maji inaondoa ukoko wote.
Hiki kitafaa sana master bedroom, karibuni tushangae wote, kama ulishawahi kukiona basi close thread ufungue ingine ambao hamkuwahi kukiona kama mie endeleeni kushangaa na mkiagizie muweke majumbani yenu.
Vingine ambavyo huwa navi admire ni vyoo vya automatic flash.

Hata nipate kitambi nita chuchumaa tu, eti automatic flash na autotawaza uvivu wanini na mkono wa kushoto unakazi gani ya ziada, kwakweli kama ukisasa ndio huo siuwezi kibisaaaa....:laser::laser::laser::laser:
 
Aisee mkono unatosha..tena na presha ya kutosha! Hahaa hapana
 
Choo hki knafaa kwa kupunguza matumiz ya Dildo,unaset maj yanakuwa ya uvuguvugu halaf yannapga kunapo!!uwiiii had raha jaman
 
watumia kopo hoyeeeeeeeee

fas-digiclass.rutgers.edu.png
Woyeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom