Hilo nalo neno, bora yakiwa ya mgao utayaweka kwa simtank yakikatika utakuwa unatumia ya kwenye tank ila shida kama maji ya kupima ya kidumu hii haitafaa aisee
Don't try it Home aisee....Usishangae watu wakaanza kubadili tabia. Mara maji ya kuweka kwenye tank la hiko choo yanapashwa moto.
Mwisho wa siku mke na mume wanakuwa kaka na dada ama dada na dada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.