Tembea Uone, Inafaa sana Master Bedroom

Tembea Uone, Inafaa sana Master Bedroom

Sasa kwa haya maji ya mgao mara moja kwa mwaka sijui itakuwaje? Ila ni kizuri.

Hilo nalo neno, bora yakiwa ya mgao utayaweka kwa simtank yakikatika utakuwa unatumia ya kwenye tank ila shida kama maji ya kupima ya kidumu hii haitafaa aisee
 
Aiseeee....!!! Hiyo speed ya hayo maji haisababishi maji yakaingia ndani kabisa kunako papuchi au 0713??

Kwa maelezo ya wenyeji wangu yap maji yanaingia kunako na kutoka na ukoko wote so ukinyanyuka hapo unakuwa swaaafii swadakta
 
Don't try it Home aisee....Usishangae watu wakaanza kubadili tabia. Mara maji ya kuweka kwenye tank la hiko choo yanapashwa moto.
Mwisho wa siku mke na mume wanakuwa kaka na dada ama dada na dada

mmmmhhhhhhh! haya labda ndo maana sijawahi viona huku kwetu
 
Wapenda ubwete hoyeeeeeee
Mpaka mnataka tigo yenu iflashiwe...
Natangaza kuwa nazibua vyoo so kwa yeyote anaependa kuzibuliwa choo chake ani pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom