Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Tembea uone katika pitapita zangu huko duniani nimekutana na choo hiki, msema ukweli mpenz wa Mungu, sijawahi kuona choo cha namna hii ni mara yangu ya kwanza. Yaani choo kina kibomba kwa nyuma katikati ukimaliza shuhuli yako unafungulia maji yanaruka kwa speed hadi kwenye papuchi au 0713 kukunawisha huhitaji kupeleka mkono wako huko. Pressure ya maji inaondoa ukoko wote.
Hiki kitafaa sana master bedroom, karibuni tushangae wote, kama ulishawahi kukiona basi close thread ufungue ingine ambao hamkuwahi kukiona kama mie endeleeni kushangaa na mkiagizie muweke majumbani yenu.
Vingine ambavyo huwa navi admire ni vyoo vya automatic flash.