Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Uhusiano wa mapenzi ni aina ya mohawapo ya magonjwa ya akili. Unapoingia msombweni hakikisha unatembea na hisia zako.
Siku moja nilikutana na sms ya betterhalf akimlalamikia mchepuko wake kuwa asiwe na hasira, apokee simu yake kwani ana hamu ya kusikia sauti yake. Ugomvu kuntu uliibuka maana nalimminya hasa (sio kumpiga bali kumminya kwa maana halisi ya kumminya) na ktk mchakato, mfupa mkubwa wa mkononi ukatengeneza ufa. Ugomvi ulikuwa usiku.
Mchana wa keshoye, akakaa mbali kidogo akiwa na simu akiwasiliana na mchepuko. Hisia zikasema "angalia anawasiliana na nani". Hisia zilipuuzwa. Usiku akawa amechukua nguo zake na kuaga kuwa amepata chumba anaenda kupanga; nikazuia licha ya hisia kushauri aachiwe akapange!
Upuuzi wa kupuuza hisia watesa hadi leo licha ya kuwa ni miaka 3 sasa. Tafadhalini sana HISIA ZISIKIZWE!
Bazazi!
Siku moja nilikutana na sms ya betterhalf akimlalamikia mchepuko wake kuwa asiwe na hasira, apokee simu yake kwani ana hamu ya kusikia sauti yake. Ugomvu kuntu uliibuka maana nalimminya hasa (sio kumpiga bali kumminya kwa maana halisi ya kumminya) na ktk mchakato, mfupa mkubwa wa mkononi ukatengeneza ufa. Ugomvi ulikuwa usiku.
Mchana wa keshoye, akakaa mbali kidogo akiwa na simu akiwasiliana na mchepuko. Hisia zikasema "angalia anawasiliana na nani". Hisia zilipuuzwa. Usiku akawa amechukua nguo zake na kuaga kuwa amepata chumba anaenda kupanga; nikazuia licha ya hisia kushauri aachiwe akapange!
Upuuzi wa kupuuza hisia watesa hadi leo licha ya kuwa ni miaka 3 sasa. Tafadhalini sana HISIA ZISIKIZWE!
Bazazi!