Nilishaeleza kwenye thread zilizopita nitaeleza tena hapa,
Whatsapp mpaka unaiona leo imekuwa kutokana na mistakes za messengers zilizopita kama vile Nimbuzz, mig33, BBM etc.
Yenyewe imetengeneza mahala salama ambapo watu wanaweza kuchat bila kubugudhiwa na watu usiowafahamu. Whatsapp ni salama kwa mtoto, kijana, mama,babu etc.
Telegram ni tofauti ndani ya sekunde kadhaa tu naweza pata video yoyote ya ngono ninayoitaka, si salama kwa watoto au familia,ni sehemu huru ambayo mtu yoyote anaweza akafanya chochote, hivyo inakuwa ni unique kwa watu fulani tu na sio app ambayo kila mtu anaweza akaitumia.