Telegram wamefeli wapi?

Telegram wamefeli wapi?

Sasa hiyo inahusiana nini na mambo ya Telegram,angalieni na sehemu za kuweka matangazo yenu. Au si mlipie kabisa hapa jf mpewe air time ya tangazo.
#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza

  • Ufugaji, kilimo na biashara.
  • Utengenezaji wa sabuni ya mche.
  • Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
  • UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.

DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.

KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777
 
Tatizo mRussia huyo alieitengeneza WhatsApp ndio huyohuyo anaemiliki telegram baada ya kumuuzia mmiliki wa Facebook hiyo WhatsApp so utaona bado kawazidi akiri developer wa WhatsApp... Telegram kwa mawazo yangu ndio nafikiri ni social network bora zaidi duniani... But matapeli kule ndio sehemu yao usipokua makini...

Sent using Jamii Forums mobile app
inabidi wajitangaze ili na sisi wa tz tuwajue na tuitumie zaid app hiyo au????
 
Whatsapp ilifanikiwa kujitangaza haraka sana kama instant messenger na kuteka soko kwa haraka, kununuliwa na Mark nako kumeipa promo zaidi. Telegram ni poa sana ila haijapata promo zakutosha, ila i hope kuna siku watu wata realize ubora wa Telegram juu ya whatsapp
true lakini naona itachukua mda sanaaa telegram kuwa na watumizi wengi hususan kwa tz
 
hauko peke yako mkuu... wapo wengi sanaaa bora hata wewe unaionaga wengine wanasema hawaijui kabisa
hahaha..

nahisi ni kwa sababu wengi huangalia watu wao wa karibu kama wanautumia au la...hiyo husaidia kuwashawishi
 
Uzuri wa Telegram hata kama utaibiwa sim/poteza/reset au ume uninstall app ya Telegram na ukaja rudishia acc hata baada ya miezi 6 utazikuta messages na mafaili yako vilevile ulizochati na watu ulipoishia,,, Pia messages za magroup utazikuta vilevile tangu group lianzishwe na ulipoishia kusoma ndio itaanzia hapohapo ukifungua group, hii ni kwa sababu data zako za telegram zinatunzwa na server yao, haina end to encryption kwenye device yako... In short ina mazuri mengi tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
sahihi sanaaaa mkuuu
 
Nilishaeleza kwenye thread zilizopita nitaeleza tena hapa,

Whatsapp mpaka unaiona leo imekuwa kutokana na mistakes za messengers zilizopita kama vile Nimbuzz, mig33, BBM etc.

Yenyewe imetengeneza mahala salama ambapo watu wanaweza kuchat bila kubugudhiwa na watu usiowafahamu. Whatsapp ni salama kwa mtoto, kijana, mama,babu etc.

Telegram ni tofauti ndani ya sekunde kadhaa tu naweza pata video yoyote ya ngono ninayoitaka, si salama kwa watoto au familia,ni sehemu huru ambayo mtu yoyote anaweza akafanya chochote, hivyo inakuwa ni unique kwa watu fulani tu na sio app ambayo kila mtu anaweza akaitumia.
 
Telegram imekuwa reported multiple time juu ya security ya program yao as whatsapp wanayo end to end encyption
 
but haina watumiaji wengi kama ilivyo whatsap..... wamekwama wapi hawa telegram???
Tanzania vitu huwenda kwa bendera fuata upepo ..........

Telegram kiukweli iko juu ya whastapp kiubora na kiufanisi.....

Imagine me ninatumiana movies za file za hadi GB 2 kwa kutumia telegram, jambo ambalo whatsapp hawana .......

Ni swala la muda tu hii app itakuja kuwa popular sana Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom