Kichaka12
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 317
- 285
Wakuu kwaninii whatsap iwe inatumiwa sana hali ya kuwa huwezi kuitumia moja kwa moja kwenye pc mpaka uwe an application nyingine au uwe na simu ya whatsap uscan code?
tofauti na telegram ambao unaweza itumia moja kwa moja kwenye pc na simu pia lakin watumiaji weng utasikia kila siku magroup ya whatsap, na hata utasikia watu weka namba nikutumie whatsap na ngumu mtu kusema nikuumie telegram.
natamani whatsap wengetengenza pia desktop ap kama telegram isiyohitaji immulators na sio hii ya kuscan code...
kama ipo nifahamishwe
tofauti na telegram ambao unaweza itumia moja kwa moja kwenye pc na simu pia lakin watumiaji weng utasikia kila siku magroup ya whatsap, na hata utasikia watu weka namba nikutumie whatsap na ngumu mtu kusema nikuumie telegram.
natamani whatsap wengetengenza pia desktop ap kama telegram isiyohitaji immulators na sio hii ya kuscan code...
kama ipo nifahamishwe
so utaona bado kawazidi akiri developer wa WhatsApp... Telegram kwa mawazo yangu ndio nafikiri ni social network bora zaidi duniani... But matapeli kule ndio sehemu yao usipokua makini...