Ti ni kweli kitaalamu kuwa wakulima wa maua wanayo teknolojia ya kufanya mvua isinyeshe? Manake kila kona, wananchi wanalalamika huu ukosefu wa mvua wakatio karibu kila siku mawingu yanafunga.
Ti ni kweli kitaalamu kuwa wakulima wa maua wanayo teknolojia ya kufanya mvua isinyeshe? Manake kila kona, wananchi wanalalamika huu ukosefu wa mvua wakatio karibu kila siku mawingu yanafunga.
hili la teknolojia nimelisikia saana
sijui likoje
hata wamachinga nasikia 'wanahusika sana' na kuzuia mvua Dar..
ni ikitokea wanafukuzwa mjini utashangaa kesho yake mvua inanyesha...
sijui ikoje hii
technologia ya kuzuia mvua ipo, ila Tanzania hatuna, kwani ilikuzuia mvua inabiidi wataalamu waende na helcopter angani na kumwaga kemikali ambazo hutawanya mawingu. hayo mambo nimeshuhudia kwa macho yangu wakti Jiji la Moscow llikuwa linaadhimisha sherehe ya kufikisha miaka 800, na siku hiyo kulitakiwa kunyesha, hivyo jamaa walikwenda wakatawanya mawingu yote, na sherehe zikaendelea kama kawaida
Watanzania tutaenedelea Kuakia Msikini Milele, Kilimo cha maua kinaendeshwa ndani, yaani ni Green houe Agriculture, sasawatazuia vipi mvua wakati wao Maua yao yako ndani na si nje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.