Ukisiki hasira inapanda mpaka utosini na wa kumlaumu huna usiombe ukutane na hii kitu kweli ndugu yangu hayo ni mateso bila chuki au kiufa bila kukata roho maana pesa yako lakini kuipata ni lazima uobey hilo tangazo hata kama ni mkubwa kama nyumba.
Na kwa sababu watanzania ni wapole na wasiojali muda wao, watahama hapo na na kujaribu nyingine na nyingine na nyingine mpaka pale ama atakapoishiwa nauli au mafuta. Teh Teh Teh
Kusema ukweli hawa jama maneno yao na vitendo ni tofauti kabisa!
Hebu zungguukia ATM kama uatakuta zote zinafanya kazi!
Ingia tawi la pale Vijana wamechukua eneo kubwa (ili 10% nayo iwe kubwa) halafu sehemu zaidi ya nusu iko wazi! kama haitoshi kuna counter kama 10 hivi lakini ukiingia uakuta sanasana tatu ndio zina cashiers!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.