Ni kina nani? Soma kwanza ndo uanzishe uzi
Comrade uko sahihiKama walimtumia mtu wa ikulu kujibu hoja ya fedha za Escrow ni za umma au si za umma mnashangaa gari la ikulu kubeba fedha tena...
Utafikiri walikuwa wanavuna mpunga toka shambaniYumo Prosper Mbene na Shaban Gurumo
Haya sasa mambo yanazidi kuwa mambo. Huyu Mkuu Wa ikulu Wa wakati ule anaponaje kwa mfano.
Ila samahanini, nilikuwa nimesahau hatufukui makaburi
View attachment 544873