Tecno User Vs Samsung and iphone user

Hawawezi kukuelewa mkuu ata ukiwaambia hivyo wacha wapigwe cha juu.
 
Ukweli umekwishauzungumza kaka, katika maisha yangu, nimewahi tumia smart phone ya tecno L6 (kati ya mwaka 2014), ilikuwa ni moja ya simu nzuri tu za tecno ilhali siwezi kusema kwamba ni bora zaidi ya simu nyingine hususan kwa upande wa i phone na samsung na kamwe siwezi. Wengi wanahusisha ukweli ama "fact" na ubaguzi kitu ambacho si kweli, ukweli utabaki kuwa ukweli, hiwezekani hata siku 1 vitu viwili kuwa sawa, kuna kilicho juu ya chenzie ama kilichochini.
 
Kumbe ni ndugu zetu mkuu na hao wa infinix wanaojiona wako juu kumbe ni ni ndugu zetu pia
 
Kumbe ni ndugu zetu mkuu na hao wa infinix wanaojiona wako juu kumbe ni ni ndugu zetu pia
Kimsingi itel ndio kaka kama sikosei.
Tecno ni ubunifu wa Mnigeria akishirikiana na Mchina walekutana huko Lagos na kuingia mkataba na hawa Transsion Holdings(pengine tuiite Itel) ili wawatengenezee simu kwa jina(brand) ya Tecno ili wakafanye biznee.
 
Kwan wewe uli tumia samsung gan? Maana samsung yangu inakaa na chaj
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
C9 ina mtandao mbovu
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
Mkuu Hajra now unatumia ipiπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Haijalishi una simu ya aina gani maadamu tu ni made in China sisi sote ni ndugu
 
Samsung at least uchukue s6 edge kwenda juu za chini izo amna kitu
 
Haijalishi unatumia simu ya aina gani kama wewe simu yako ni made in China sisi sote ni ndugu. Aliyetengeneza yakwako ndiyo katengeneza ya kwangu,unapiga kelele wakati wewe mchina na mimi mchina pumbaaaaaaaaavu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…