Tecno User Vs Samsung and iphone user

Mleta uzi hajawai tumia iPhone sasa sijui kwanini ametuweka na sisi user wa iPhone hapa, si unajua ukitumia iPhone lazima uweke na kizunguu!!,
its like kutuonea users wa iPhone
 

#Team Xiaomi Mi a2 lite mpo? Tecno ni low-end devices zinazouzwa bei kubwa, Tecno si simu za bei raisi kama wengi mnavyodhani.
 
Ilikuwa samsung ya mwaka gani?.Tafuta hizi za 2017-2018 zinatunza sana charge ni zaidi ya saa12 ukiwa unatumia 3G non stop kitu ambacho uwezi fanya maana una kazi zingine pia.Pia zina performance nzuri na feature lukuki.
 
Nokia tumerudi kwa nguvu mpya tena yenye kasi zaidi,nipo na Nokia N-6.1 yangu hapa.
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
Swahiba katecno kangu kanapiga mwaka 3 ss
 
Katecno wereva kangu kanapiga mzigo mwaka wa 5 sasa
Swahiba katecno kangu kanapiga mwaka 3 ss
Swahiba hizi ni Tecno mbili tofauti au moja? 😜😜😜😜😜

πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…