Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Watumiaji was Samsung kila wanapoenda lazima wabebe chaja mfukoni hata kama ni safari ya masaa matatu
Hii ni guarantee, haijaalishi unatumia tecno ipi, yaani ikifika miezi sita tu kuanzia apo simu itaganda. Unaweza kufuta na kui restore upya ukafikiri itarudi perfomance yake lakini bado itaendelea kuganda.Tecno baada ya miez 6 inastack
Ok,Huwa unachaji simu mara ngapi kwa siku?Mtayamaliza yote leo. Ila tu mtuulizage sie watumiaji wa hizo simu.
Hahahaaa. Tutakesha hapa.Ok,Huwa unachaji simu mara ngapi kwa siku?
Usiwe mpole hivyo Dada yanguMtayamaliza yote leo. Ila tu mtuulizage sie watumiaji wa hizo simu.
Mimi mara moja kwa sikuHahahaaa. Tutakesha hapa.
Hili swali yawapasa mtuambie nyie team Tecno huwa mnachaj mara ngapi. Teh teh
😂😂😂😂 nimewaachia team tecno mserereke nayo maana naona mnajitahidi kuhalalisha ukweli ambao kiuhalisia uko tofauti kabisaaaaaa.Usiwe mpole hivyo Dada yangu
Mwamba ngoma huvutia upande wake.
Nasubiri kamba ikatikie katikati mambo yaishe
😂😂😂😂😂 kuuumbeeeee.Mimi mara moja kwa siku
Tecno ni jina la kampuni ya simu, unatumia tecno ya aina gani kwani ndugu maana nimehisi kama vile unaogopa kuitaja, sitaki kuamini kama umesahau kuitaja licha y maelezo toshelezi juu ya tecno.Mi ni tecno user na siyo kwamba sijawahi kumiliki samsung hapana ila ilinichosha kutokana na kutaka kunigeuza kuwa teja wa kwenye soketi ya umeme.
Toka nimeanza kutumia tecno hizo changamoto kwangu ni no japo hazidumu sana sometime na mapicha picha yake lakini Tecno is the best kwangu.
---inakaa na chaji 24+ hours kama sina mambo ya kufanya online.
__Camera yake iko vizuri .
__Kioo kikubwa
__Rahisi kuitumia haina mambo mengi.
__Space ya kutosha tu 16GB siyo haba kwa matumizi yangu binafsi.
__bei yake ni kawaida tu kwa mimi mjasiriamali au ata mkulima kuweza kuimudu.
__Upande wa data ni 4G+ na hazina ugumu kwenye upande wa Network setting.
Mnaotuponda watumia Tecno mkuje hapa mtupe Utofauti wa simu zenu.
Mi niko hapa natumiaTecno na hii post mnayoina nimeandika kwa kutumia tecno bila shaka mmeiona haina tofauti na atakaekuja kuandika kwa kutumia Samsung au I phone.
Usikimbie bhana tuambie uzuri wa simu yakonimewaachia team tecno mserereke nayo maana naona mnajitahidi kuhalalisha ukweli ambao kiuhalisia uko tofauti kabisaaaaaa.
Maana mie kama mie zingekuwa tecno zina haya mnayoyasema nisingethubutu kuhamia kungine. Hongereni mmeshinda kwa maandishi.
Yaani unatumia simu mpaka inafikia 480 mb alafu bado unalalamika ikiwa inastack ?Hii ni guarantee, haijaalishi unatumia tecno ipi, yaani ikifika miezi sita tu kuanzia apo simu itaganda. Unaweza kufuta na kui restore upya ukafikiri itarudi perfomance yake lakini bado itaendelea kuganda.
Ninayo K8, simu imebakia 480MB free storage, eti sms haiwezi kuingia, inakuja notification inanambia kuna sms imeshindwa kuingia kwa sababu ya storage ndogo. yaani sms ya 13kb haiwezi kuingia, lakini ukipiga picha inakubali. Sijui ni Tecno au ni Android tu!
nmecheka kwa nguvuWale wa IPhone tunaweka wapi Reply zetu?
Am tecno wereva userTecno for life easly tu use,chip to buy na ni staimilivu kwa matumizi.
Mnazidi kuwashushua hao wapondaji wa Tecno mtu unataka kumiliki i phone wakati ata kiwanja huna.mleta uzi nipe mkono.
mm natumia tecno s1 tena promotion tigo.
lakini nacomment hapa mnaona hamuoni
nna playstore/3G/android version