Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 571
- 161
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wenu ktk hili, nimeona post za wadau wakielezea na kutoa juu ya update za simu zao na jinsi zinavyoongezeka ubora wake ktk matumizi.
Je, kwa simu za Tecno zinaweza kufanyika hivyo? Na unafanyaje ili uweze kuupdate simu yako?
Natumia Tecno H6 version ya 4.4.1
Cc Chief-Mkwawa, mwlRCT
Naomba msaada wenu ktk hili, nimeona post za wadau wakielezea na kutoa juu ya update za simu zao na jinsi zinavyoongezeka ubora wake ktk matumizi.
Je, kwa simu za Tecno zinaweza kufanyika hivyo? Na unafanyaje ili uweze kuupdate simu yako?
Natumia Tecno H6 version ya 4.4.1
Cc Chief-Mkwawa, mwlRCT
Last edited by a moderator: