Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,065
- 43,496
-motorola simu zao karibia zote mpya ni value for money, ila still ni ngumu kuzipata huku kwetu, zinatokea mara chache na zinaisha upesi. hapa namaanisha moto E, moto G na moto X generation hii mpya.Mkuu ww ni mtaalam wa IT, hivi hizi smartphone tununue Kampuni gani tuone Value for Money mkuu?
Msaada plz
-Xiaomi. hawa jamaa japo ni wachina ila quality control yao ni kubwa na wanapenda kutumia vifaa premium kwenye simu zao. simu kama redmi note 3 na redmi 3 ni nzuri mpaka unaweza usiamini kwa bei zinazouziwa.
pia kuna kampuni kama huawei na lg wao wana baadhi ya simu zinakuwa nzuri sana mfano honor series za huawei na baadhi ya simu za lg kama lg g2.
pia siku zote flagship iliopita ya samsung inakuwa simu nzuri kwa value of money. sasa hivi s5 inauzwa kwa bei nzuri sana na ikitoka s7 then s6 nayo itauzwa bei nzuri.
