yap zinatumiwa na oem wakubwa ila umeshawahi kufanya hata research ya dakika mbili kuhusu utofauti wa simu za mediatek na za qualcomm au exynos za kampuni moja?
hebu search tofauti ya meizu mx5 na meizu pro 5, au xperia c5 na wenzake wa qualcomm uone. sony ilikuwa ni moja ya kampuni inayosifika kwenye battery life na simu kama z3c zinakaa na chaji kupita kiasi kwa kibattery kidogo cha 2600mah, ila cheki za mediatek sasa ni aibu.
kuhusu tecno zipo sababu nyingi na kila siku naongea na kila siku nawauliza hili swali na kila siku hamulijibu na leo pia nitaliuliza tena. JE NI TEST GANI AU NI NCHI IPI TECNO IMEPASS SAR VALUE KUWA INAFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU? leo hii waziri husika au wewe munatuhakikishia vipi kuwa simu zote za kichina zinazouzwa Africa tu ni salama kwetu?
leo hii zikija kugundulika zina madhara kwa kampuni ya simu hata isiojulikana HQ zipo wapi utamdaka nani?
siku nyengine usifananishe kabisa Tecno na Huawei/Samsung/Sony/Lg nk