Hatukatai Tecno in low quality products ,lakini pamoja na udhaifu wao bado wanakupa 12+1 monthly warranty....... technical supported sasa ni sawa kununua IPhone au Galaxy inayoingizwa nchini kama refurbish product?....au clone S4 isiyokuwa Na uhakika ikiharibika itatengenezwa na nani ....kwa hili nafikiri Tecno ni mshindi.
HAYA KANAWENI MIGUU MLALE NA HUU MJADALA UMEFUNGWA RASMI......UKIBISHA UTAPIGWA TU.
Ni ukweli usiopingika Tecno wameliteka soko la simu hapa nchini hadi kwenye simu za kawaida kwa rate yangu kila ukikutana na watu 10 watatu kati ya wanna simu aina ya Tecno , kinachowaweka kwenye masoko no ubora was bidhaa zao hasa upande wa betri zinazoaminika kuwa na ubora kuliko hata za Nokia ......kingine ni kituo chao cha Carl Care service kinachohudumia wateja bila ya usumbufu sasa tuende wapi zaidi ya kununua Tecno ?
Nakubali, tecno yuko vizuri hawa kina Samsung, nokia, sony na wengineo ni maigizo tu na mbwembwe za bei otherwise kazi ni ile ile.
Mimi natumia Precision Air, oooh mimi natumia fasjet, mwingine anatumia Excel Air lkn wote tunatia team kunako husika.
Hii ni biashara tu ambayo mchina anataka kuiteka na ameshaiteka muda mrefu.
Hii teknolojia ni rahisi sana tatizo ni kuijua tu sasa mchina anagharamia kupata elimu then anai-deliver nchini kwake wanafanya kazi.
Kwa Africa tecno itauzwa saaaana na matumizi yote ni sawa sawa na hayo ya Samsung, Nokia,Sony, Huawei n.k
Hakuna cha bei wala nini tunataka huduma tu.
Wapi Yutong inifikishe Mwanza from Dar chap, nataka nini mimi??
Jikague hapo ulipo kama huna kitu chochote cha kichina, hata key holder
Phantom langu hapa nakong'oli tu.....addicted to tecno.
Nakubali, tecno yuko vizuri hawa kina Samsung, nokia, sony na wengineo ni maigizo tu na mbwembwe za bei otherwise kazi ni ile ile.
Mimi natumia Precision Air, oooh mimi natumia fasjet, mwingine anatumia Excel Air lkn wote tunatia team kunako husika.
Hii ni biashara tu ambayo mchina anataka kuiteka na ameshaiteka muda mrefu.
Hii teknolojia ni rahisi sana tatizo ni kuijua tu sasa mchina anagharamia kupata elimu then anai-deliver nchini kwake wanafanya kazi.
Kwa Africa tecno itauzwa saaaana na matumizi yote ni sawa sawa na hayo ya Samsung, Nokia,Sony, Huawei n.k
Hakuna cha bei wala nini tunataka huduma tu.
Wapi Yutong inifikishe Mwanza from Dar chap, nataka nini mimi??
Jikague hapo ulipo kama huna kitu chochote cha kichina, hata key holder
Mmmh mtoto mzuri kama mimi kutumia techno?hapana......jamani
Jamani tuache ushabiki kusema ukweli camera ya phantom A+ ni bomba sana nilipiga picha kwenye phantom kisha nikapiga kwenye xperia sl (LT-26!!) yenye 12 megapixel kisha nikazi view picha kwenye laptop sony ilitupwa mbali kwa ubora wa picha !!
Hata sasa hivi natumia HTC one s bado haipigi picha nzuri kama za A+ !!
Sasa sijui ndo tuseme mambo ya setings ?
Ukweli ni lazima usemwe hata kama ni mchungu,Hawa jamaa TECNO wanakuja juu sana sema jina lake tu ndio lina gundu.
Natumaini tutaenda nao tu hadi huko KITKAT !!
umeona eeeeeeeeeeeeeee!!!!!.tuwashauri wabadili jina
Mzuri kwa vigezo vipi? Weka picha tukuone, sio unajisifia.
mkuu benzi na toyota zinaweza kuwa sawa machoni pako kama utachukulia zote zina mataili mmne, pedeli zipo sawa, milango ipo sawa, taa zipo sawa, honi zipo sawa nk, nk.
Ubora wa simu unachangiwa kwa kiasi kikubwa na kitu inaitwa specification, ikiwemo
ram
processor
camera nk
ki uhalisia specification za phantom a+ ni sawa na specification za samsung s2
ni makosa kulinganisha s4 na phantom a+ kuwa zipo sawa kwa kigezo chako cha function badala ya uwezo wa simu
kulingana na maisha yetu ya kibongo na vipato vyetu sio mbaya ukinunua simu hii angalau utapata ladha ya android na haswa kama ni mtumiaji wa simu wa kawaida uta enjoy
Mkuu, ukinunua benz mil 60 na mimi nikanunua mark ii grande mil 15, unaweza ukaona kuna tofauti ya bei lakini wote tutaenda ofisini na gari hizo tutapaki jioni tutarudi nyumbani,weekend kila mtu ataenda beach na gari yake na mwisho wa mwaka kila mtu ataenda kijijini kwao kusalimia na gari yake. Unachotakiwa kujua bei ni tofauti lakini function ni sawa.pole kwa kupigwa simu bei kubwa (mara tatu ya tecno) lakini function zinafanana.
Ndio maana mmeulizwa hapo juu, tuoneshe kitu unafanya kwenye hiyo s4 yako na phantom a+ ikashindwa.