sawa niambie sasa mtengenezaji wa tecno hiyo original ni nani???
Unajua hata wanya gongo na matapu tapu wanasababu kama hizi za wanazi wa tecno mwasababu nao wanalewa kama wanywa heineken
Umasikini mbaya sana unasababisha watu kuhalalisha shida na matatizo kuwa halali
kauli kama siwezi kununua vogu wakati kuna vitz za bei rahisi
Au siwezi kupanga nyumba masaki wakati za rahisi zipo kitunda
Au Siwezi kumsomesha mwanangu academic wakati shule za kata zipo rahisi............haya ni mawazo ya masikini
Waswahili wanasema vya rahisi ni ghali
Nenda china kama utakuta kuna mtu anatumia hizo simu..... hakuna, hizo ni special for dumping area kama Africa
Kama wewe ni masikini mwenzangu go for tecno but dont come in here kisha unaongea upuuzi ati tecno ni sawa na akina Samsung and the co......unless uwe hujui kitu kuhusu haya mambo
Unajua hata wanya gongo na matapu tapu wanasababu kama hizi za wanazi wa tecno mwasababu nao wanalewa kama wanywa heineken
Umasikini mbaya sana unasababisha watu kuhalalisha shida na matatizo kuwa halali
kauli kama siwezi kununua vogu wakati kuna vitz za bei rahisi
Au siwezi kupanga nyumba masaki wakati za rahisi zipo kitunda
Au Siwezi kumsomesha mwanangu academic wakati shule za kata zipo rahisi............haya ni mawazo ya masikini
Waswahili wanasema vya rahisi ni ghali
Nenda china kama utakuta kuna mtu anatumia hizo simu..... hakuna, hizo ni special for dumping area kama Africa
Kama wewe ni masikini mwenzangu go for tecno but dont come in here kisha unaongea upuuzi ati tecno ni sawa na akina Samsung and the co......unless uwe hujui kitu kuhusu haya mambo
Umeathiriwa sana na siasa wewe na inawezekana kushindwa kwako na maisha utaishia kulaumu wanasiasa wakati wenzako wanatusuaKwa hiyo wewe unamheshimu sana anaye-drive Vogue na kumdharau anaye-drive Vitz? Haya ni mawazo ya kifukara yanayoitesa nchi hii, ndiyo maana viongozi wetu wanang'ang'ania kumiliki Ma-VX ili waheshimiwe na watu kama ninyi lakini dawa zikosekana hospitalini na watoto wakae chini mashuleni!
Viongozi wa nchi wanaotupa misaada hawamiliki mahekalu wala magari ya kifahari kama yale ya viongozi wetu, sisi ujinga na mawazo ya kilofa kama yako yametapakaa mpaka umasikini tumeshindwa kuuondoa nchini wakati tuna kila kitu cha kuanzia maendeleo.
Hujui unachoongea mkuu nimetumia aina nyingi za smart phone hakuna jipya
naomba msaada wakufuta app najua kudownload sijui kufuta natumia techno m3
Uzoefu unaonyesha watumiaji wa mara ya kwanza wengi wanaanza na Tecno ila wakishazoezi wanahama.
Nenda kwnye settings scroll dwn mpk sehemu y Apps thn choose application unayoitaka kuiuninstall.ambzo n dwnloaded aaps lkn kwa system app ambzo huja kwa moja na simu cyo rahisi kuziuninstall mpk uroot simu yko
hii simu ni kiboko yake kaka kama galaxy s3 hivy hivy.Battery safii,camera safii 8.0 auto focus.nimetumia kwa muda naona inafaa.Chukua tu kaka bei isizidi 480,000/=
Unanishawish Nikanunue P5, Weekend Ijayo
hiyo external sD Card ndo wamebugi gb 8 tu? Wakati yangu inasapoti mpaka 32gb na haijafika hata laki.